Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

5 odds jaribu tena aisee
%E8%B6%85%E7%BA%A7%E6%88%AA%E5%B1%8F_20240216_142853.jpg
 
Kuna muda unasikiliza kipindi cha michezo unaona wanapiga kelele tu!!
Ivi kuna waandishi kabisa wanadiriki kusema Simba imecheza michezo mingi inaenda kuwaathiri kwenye club bingwa!!

Wakati wengine tunatamani tufikie uwezo wa kucheza mechi kila baada ya siku tatu!!

Nchi imejaa wanafki sana hii
 
Kuna muda unasikiliza kipindi cha michezo unaona wanapiga kelele tu!!
Ivi kuna waandishi kabisa wanadiriki kusema Simba imecheza michezo mingi inaenda kuwaathiri kwenye club bingwa!!

Wakati wengine tunatamani tufikie uwezo wa kucheza mechi kila baada ya siku tatu!!

Nchi imejaa wanafki sana hii
Wachambuzi wengi ni Wajinga, ingekuwa Yanga ndo inalalamika , ungesikia Wana kikosi kipana ,ila kwa Simba wanaona kama anaonewa
 
Back
Top Bottom