Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hii option babu ni moto nimetembea thirty seven team in row anakuja kunichania mpuuzi mmoja ako na shinda four goal in a row.maumivu ya betting yako makubwa kuliko ata yale ya mupenzi
I Lost one and half million per one team even the stake ilikuwa two thousands Tz shillings

Even its would be good for God and the World let's win today.and that is the power of new option

Kama ikikupendeza Mungu.basi acha tu boom at least this single weekend,i saw vijana wengi humu Jf ako na pain.our God relving out our pain
Option gn hiyo
 
Tatizo lako la kwanza unaweka mikeka mingi sana kwa siku.

Mfano ukiweka mikeka mitano(5) kwa siku ukiliwa minne(4) na ukawin mmoja(1) hapo hata ile faida hautaiona.

Weka mikeka miwili tu mmoja odds 10 kwa stake kubwa, mwingine weka odds 50+ kwa stake ya kawaida hapo atleast utacheza na cash-out incase things are getting worse.

All in all huku ndani inabidi tushirikiane kutengeneza mkeka mmoja(1) au miwili(2).

Naamini kuna watu ni wataalamu wa premier league, wapo wataalamu wa bundesliga, italy serie A, hata spain league pia.

Tukipika kitu kimoja kwa kushirikiana in a long term naamini tutapiga pesa sana.

Ni mawazo tu, kazi iendelee!
mikeka yes hua naeka 3 or even 5 or 6 na hua inashinda hata 3 au minne na kuna siku inashinda yote, but jana? yani uneshinda mmoja, tena nlokua naudharau nkaweka 10k tu odds 6, ati ndo ukashinda[emoji52], no jana was a bad day, but ndio bet ilivo, huezi kula everyday, ukila lazma uliwe, leo pia ni siku ngoja nijaribu tena[emoji120] inshaalah
 
we laki tatu unalia wenzako juz nimeliwa m7 nasemaje nasemaje mkeka wa j moo humu ndan sitaki alie mtu nabii wenu sija lost kwahy sheherekeen afu we mudada mambo ya mume humu hatunaga mume ni huko huko mahome geloo, unatangaza una mume avata imenoga hapo kati unataka kutunyima nn ukiingia humu wote ujue kwamba humu wote hawajaoa wote wana vyeo wote wana majumba nk hakuna wa kulia lia humu afu kwanini umeingia tu humu bila kuja kanisan kwangu nikusain yakuwa ww ni muumin wangu ndan ya hili kanisa letu la mikeka win daile chin ya nabii wako mr pipa
jamaani[emoji28], haya sisemi tena ivo[emoji3]
 
Eeeeh kumbe hii ilibooooooooom pia, niliiweka betika[emoji16] sasa nilikua nafungua site zote huwa natumia nione zilizochana zimechanaje, nikakumbuka pia betika niliweka ngoja nicheck, nacheck bakuta maokoto[emoji120] thanks yaa-alah, kidogo hut si mbaya

betika nao wapuuzi tu sa mbona hawatumi sms jamani? mfyuuu zao

haya hongera ka ulicheza
%E8%B6%85%E7%BA%A7%E6%88%AA%E5%B1%8F_20240218_104055.jpg
 
aiseee leo betting companies zimetuweza[emoji31], imagine , i think wasee hupanga matokeo aisee[emoji32] yani even zile matches zenye hukua sure ati zinatoka under 1.5 na hutoa even 7+[emoji24] nimelia sana, na msee kasafiri talia peke angu bedroom, au wacha nlale bedroom ya mabinti zangu[emoji24] skai peke angu takufa na presure[emoji24], indian kanila 320k today imagine[emoji24] uchawi upo
kingine acha kubet mikeka mingi itakucost bet km pro tulia toa wenge tathmin game b4 punguza odds hata 2 zinakutosha acha kueka msururu
 
kingine acha kubet mikeka mingi itakucost bet km pro tulia toa wenge tathmin game b4 punguza odds hata 2 zinakutosha acha kueka msururu
ok nimekuelewa mkuu, ni jana tu ndo nmeweka mingi na imenifunza, ubarikiwe[emoji120]
 
Hii option babu ni moto nimetembea thirty seven team in row anakuja kunichania mpuuzi mmoja ako na shinda four goal in a row.maumivu ya betting yako makubwa kuliko ata yale ya mupenzi
I Lost one and half million per one team even the stake ilikuwa two thousands Tz shillings

Even its would be good for God and the World let's win today.and that is the power of new option

Kama ikikupendeza Mungu.basi acha tu boom at least this single weekend,i saw vijana wengi humu Jf ako na pain.our God relving out our pain
naomba unifafanulie inamaanisha nini hiyo option
 
Hii option babu ni moto nimetembea thirty seven team in row anakuja kunichania mpuuzi mmoja ako na shinda four goal in a row.maumivu ya betting yako makubwa kuliko ata yale ya mupenzi
I Lost one and half million per one team even the stake ilikuwa two thousands Tz shillings

Even its would be good for God and the World let's win today.and that is the power of new option

Kama ikikupendeza Mungu.basi acha tu boom at least this single weekend,i saw vijana wengi humu Jf ako na pain.our God relving out our pain
mkuu tusukie na mkeka wa leo wa hii option , mi jana kanichania liverpool nimeliwa 20k kizembe kabisa , kwenye hii option tukitulia tutapata chochote
 
Tujaribu tena leo.

Hakikisha picha imefunguka. Kwa wenye mitaji hizi zitawafaa sana.
20240218_114345.jpg
20240218_114337.jpg
 
Back
Top Bottom