Ya kwanza wasifungane magoli yani timu Moja wapo ifunge tuuu ata 10-0 inatakiwa mwenzake asirudishe goli lolote, na ya tatu yoyote ashinde yani wafungane wasifungane inatakiwa Mmoja wapo ashinde ila isitokee tu draw ya 1-1, 2-2, 0-0 draw ndo mchawi hapoYa kwanza na ya tatu zina utofauti upi?
Innalilah wa innalilahIla huu uzi nikiingia huwa nacheka sana
Won imeambatanishwa na screenshot ya livescore,sio mkeka uliotiki 😂😂😂
Aisee nitakuwa nimechanganya wakati naandaa mkekaMkuu kwenye direct win na both team to score umerudia code ile ile, naomba hiyo ya both team to score
Watu wanajifariji wanasahau simu za Maafisa Ubashiri zina application za "flashscore" na "LiveScore" yaani Kila matokeo mtu anayo. Mkeka wenyewe tu ni fursa tosha ya kujua matokeo maana upate au ukose matokeo yanakuwepo kwenye mkeka (ukipost "won" mtu anaona mkeka wake ameloose anabaki abakuzoomIla huu uzi nikiingia huwa nacheka sana
Won imeambatanishwa na screenshot ya livescore,sio mkeka uliotiki 😂😂😂
Naona mpaka saivi bado bila bilaHili tatizo la ku deposit ni kwangu tu au kote BetPawa. Yani hela mpaka sasa haijafika tu
Nimekupata mkuuYa kwanza wasifungane magoli yani timu Moja wapo ifunge tuuu ata 10-0 inatakiwa mwenzake asirudishe goli lolote, na ya tatu yoyote ashinde yani wafungane wasifungane inatakiwa Mmoja wapo ashinde ila isitokee tu draw ya 1-1, 2-2, 0-0 draw ndo mchawi hapo
1x home win or draw timu ya Nyumbani ishinde au draw, 2x Away win or draw timu ya ugenini ishinde au draw, 12 hiyo tayari nimeelezeaJe wakiandika DC -1X, DC-2X na DC-12 wanamaanisha nini?
Wale wazee wa under kazi wanayoCeltic anaua mtu huko 6-0 dk 45
BalaaWale wazee wa under kazi wanayo
FTASOUUN(1.5) ,FTASOUUN(1.75) inamaanisha nini?1x home win or draw timu ya Nyumbani ishinde au draw, 2x Away win or draw timu ya ugenini ishinde au draw, 12 hiyo tayari nimeelezea
Man U : Over 1.5[emoji777]Sportpesa Code: EpcXK8
Odds: 23:07
Game Ilioanza Nimeitoa
Chambua Hapo
Game Ya Kwanza Inaanza 1730Hrs
Adui Yetu Mmoja, Leo Nayo Siku!
Sportpesa Code: HgILK8
Odds: 28.07
Chambua Chache Kuepusha Mengi.
Hii option ya Asouun ipo site Gani, ila kama ni ft 1.5 over yani goli zianzie goli mbili kuendelea, ft 1.75 over yani goli likipatikana Moja odds hizo sijui Kuna namna wanazifanya wadau humu wanaelewa, ila nzuri hiyo zianzie goli mbili kwa option hiyo hiyo ya 1.75 ftFTASOUUN(1.5) ,FTASOUUN(1.75) inamaanisha nini?