Ya kwanza wasifungane magoli yani timu Moja wapo ifunge tuuu ata 10-0 inatakiwa mwenzake asirudishe goli lolote, na ya tatu yoyote ashinde yani wafungane wasifungane inatakiwa Mmoja wapo ashinde ila isitokee tu draw ya 1-1, 2-2, 0-0 draw ndo mchawi hapoYa kwanza na ya tatu zina utofauti upi?