Preparation for the surgery tomorrow!!!Ivi Mr cocktail JITU BANDIA amepotelea wapi jamaa yetu tumemiss coktail ya [emoji459] na [emoji460]
B34F37 editedPreparation for the surgery tomorrow!!!
24858CC
It's me your specialist surgeon ...! JITUBANDIA!
Prepare for the cook!...
That's rough digital elevation model!... Wait for the grid... We go contouring soon!... Early in the morning!....Smoothing it into CAD software! A. K. A KIMKAKATI!
Weka Tuweke!
WONBETPAWA 6CD3612 Total Odds; 2
Umeanza kumchokoza tena Jitu bandiaB34F37 edited
msaada jamaniWale ambao mmewahi/mnatumia helabet (kampuni ya kubet) nafanyaje kudeposit
Mimi niki deposit mara 2 ya 3 inagoma yaani hela inatoka kwenye account ya tigopesa ila haifiki kwenye account helabet naomba mnipe trick.
Maswali mengine ni usumbufu tu ...kazi mojawapo ya huu uzi ni kuonyesha njia sahihi na njia potovu ....hadi sasa watu mna...angaika na makampuni chungumzima wakati hapa JF tulisha fikia hitinisho ni kampuni gani nzuri za kutumia [emoji849] hayo makampuni mengine ni yakufuta kabisa kwenye simu yanajaza bure simu.msaada jamani
Ni kampuni gani nzuri mkuu ni sikuwepo kwenye kikao.Maswali mengine ni usumbufu tu ...kazi mojawapo ya huu uzi ni kuonyesha njia sahihi na njia potovu ....hadi sasa watu mna...angaika na makampuni chungumzima wakati hapa JF tulisha fikia hitinisho ni kampuni gani nzuri za kutumia [emoji849] hayo makampuni mengine ni yakufuta kabisa kwenye simu yanajaza bure simu.
Nishapita nao shwaaa huna baya tajiriPreparation for the surgery tomorrow!!!
24858CC
It's me your specialist surgeon ...! JITUBANDIA!
Prepare for the cook!...
That's rough digital elevation model!... Wait for the grid... We go contouring soon!... Early in the morning!....Smoothing it into CAD software! A. K. A KIMKAKATI!
Weka Tuweke!
We Simba mpole jitu alikuwa amekaa kimya mda mrefu hajaposti leo kapost tu fasta umeedit code yake ππ au umemsahau alivyo ππ natania tuB34F37 edited
Hiyo option ya over 1.5 nina mkosi nayo sana nisipo tumia hiyo option vita na kanji inskuwa kali sana ila nikitumia kanji ananipiga "KO"B34F37 edited
Oyoo tupo kama hatupo ila tupo wakuu nimeweka mkeka wa odd 10000 team kama 30 hv nimetia kama elfu 30 ikasoma m27 sasa wakuu nachoshangaa hapa mwanzon mwa mkeka wote niliweka odd kubwa kubwa yaan over 3.5 odd 4.25 kama team 7 na zote zimetiki huku chin zilizobaki ni over 0.5 na double chance ninachoshang nikipiga hesabu odd zilizo win nikaribia 650 ila kwenye cash out nimepewa ka laki 6 katika m27 na team zimebaki 8 hivi hawa jamaa hesabu wanapigaje mpaka caush out isome laki sita? sio wizi kweli?