Hiyo ni zaidi ya home win pia inakwenda hadi dk 30 za nyongeza au hadi penalty..pia inazingatia point..au hata magoli mfano home team inaweza kushinda mechi ila ilitakiwa ifunge mabao mawili bila ila mechi ikaisha home 2 away 1 maana yake home haja qualifyMkuu hiyo To Qualify harafu wametoka draw we umeweka home inakuwaje kuwaje!?
HATAMIE WALINIPITIA USIWAPINGE WEE UNALOmzee wa option ngumungumu, we jamaa noma.
telegram tulikuwa wote kwenye magroup mawili ya REAL VIP BETTING TIPS na SURE FIXED DRAWS. magroup yote hayo nikashangaa napigwa ban tu bila sababu yoyote. nikapata jibu kwamba admins wengi ni matapeli, ukifichua njia wanazotumia matapeli wanakupiga ban.
kuna watu mnabeti adi ligi za Bongo.??Ngoja [emoji250][emoji834][emoji250][emoji834][emoji250][emoji834]🦧🦧[emoji856]
Mtaji umeisha jana.ACHENI KUBETI, SIO DHAMBI ILA MIYEYUSHO SAAAAANA.
THE CLUB HOUSE ALWAYS WINS.
Mimi nabet chochote kilichopo mbele yangu cha msingi nijue tu kama ni mechi za wanawake au wanaume na kama ni youth au lakuna watu mnabeti adi ligi za Bongo.??
No way
Umeachana na aviator siku hiziBe inspired or Ignore!! View attachment 2933891
Sichezagi aviator mkuuUmeachana na aviator siku hizi
Hii code inagoma nduguBetpawa
O6987LJ
Weka 1000 tu.