Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Haya usiku wa deni haukawii kuchwa!!

Twanga na kupepeta waliwahi kuimba kibwagizo cha " naangusha moja moja leo""
Burudani zinaanza kulejea

Wa kwanza leo!!!!
 
Wakuu habari
Nilipata ndoto kama ya siku tatu nyuma
Ilikuwa ni mchezo wa simba vs watoto wa misri
Matokeo ya huo mchezo yalikuwa hiviii
4:1
 
Aisee wakuu hii week imeshaharibika tuwe makini na stake zetu. Leicester city wametupa ishara mbaya sana😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…