Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kanji mbona leo unatufanyia hivi ac Milan analiwa kichapo Cha kutosha, huku liverkuku wanasusua
 
Ogopa sana group lilomutiwa anayepost ni admini tu shifuka huo ni utapeli...ili akiwapiga msiweze kusanuana , wanao nunua odd whatsap ni mazuzu
Hilo group linajulikana, la mida na huwa baadhi ya siku analiachia watu wanachat.
 
Kabla ya mechi ukiangalia unaona kabisa Liverpool anashinda na Arsenal anashinda ukijumuisha na uhitaji wa kila mtu kutaka kubeba taji la ligi! Ila sasa subiri zianze kucheza uone matokeo ndo haya ya leo πŸ™ŒπŸ™Œ Kuna siri kubwa kwenye hii tasnia ya betting si bure! Siku hizi hata kuchambua timu ni kupoteza muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…