ipi tena kijana,Tafuta pesa mzee 🤣🤣🤣🤣
Tafuta pesa mzee🤣🤣🤣🤣🤣ipi tena kijana,
hiyo unayotoa kidogo kwenye kodi inatosha kusaidia kuniwezesha kukufikishia huduma za afya, umeme, maji n.k
nasikitika tu katika hiyo unayo mpelekea muhindi, pia serikali inapata kidogo kodi ndio hiyo inasaidia maswala ya amani na utulivu nchini, na wewe ukibaki na hali mbaya kiuchumi
Mkuu Ile milioni kama umeweka kwenye Simba na yanga zimetoaTafuta pesa mzee🤣🤣🤣🤣🤣
Hajaweka uyo dogo lengo halikua kuomba ushauri lengo lake lilikua ni watu waone tu kama ana milioni kwenye akaunti. Dogo ana ulimbukeni wa kumiliki milioni. Wanao stake milioni hawanaga mbamba za kuomba ushauri na kuonyesha akaunti ina kiasi ganiMkuu Ile milioni kama umeweka kwenye Simba na yanga zimetoa
Tafuta pesa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hajaweka uyo dogo lengo halikua kuomba ushauri lengo lake lilikua ni watu waone tu kama ana milioni kwenye akaunti. Dogo ana ulimbukeni wa kumiliki milioni. Wanao stake milioni hawanaga mbamba za kuomba ushauri na kuonyesha akaunti ina kiasi gani
Yo kampuni yake mzeeAjifunze hapa
View attachment 3002563
Huu mwandiko unafanana na aliyekuwa waziri wa utalii na Mali asili. Nimebetfix haitasaidia chochote kwangu, kwako ama kwa mwanainchi wa kawaida. muhimu zaidi, ili tusonge mbele na kushamiri kiuchumi, lazima tuchape kazi kwa bidii zaidi, bila kukata tamaa na kupendelea njia za mkato. hapana mafanikio rahisi ndrugu zangu
na mimi nawashukuru sana JF family kwa heshima ile mmenipatia siku zote. na saa zingine mzaha na matani ya hapa na pale, nafurahi sana kuchangamana na wanainchi wa mtatandao huu nchi nzima. maoni, mtazamo na changamoto wanazoibua humu jukwaani kwa niaba ya wanainchi zimenisaidia sana katika kazi zangu za siasa, kijamii na hata kiuchumi. Naamini wengi pia wamefahamu na kuelewa mambo mengi humu jukwaani
Huyu jamaa anapoteza sana ila anazokula sjjawahi kuziona?Ajifunze hapa
View attachment 3002563
Kiongozi code za 🏀🏀 vp hatupati cku hizoHuu wimbo nimeusikia kwa mara ya kwanza mwaka 1994
Kipindi hii viumbe mingi humu haikuwa hata inatarajiwa itakuwepo kwa huu ulimwengu!