Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Vipi bado mnaendelea kupambana wengine tulikuwa tumepigwa ban .....nashangaa kila week ni lazima mimi nipigwe ban na jf kuna uzi niliuona humu kumbe kuna ban za week moja ila mimi nikipigwa ni siku 30 au 60 sababu za kupigwa ban ni za kihuni tu walaaniwe VIONGOZI WA JF ...ngoja tukuze mitaji kidogo kisha tufakamie matreni
 

Attachments

  • Screenshot_20240630-104548_SportyBet.jpg
    Screenshot_20240630-104548_SportyBet.jpg
    547 KB · Views: 12
Ndugu wazee kumbe hata mechi hizi za ajabu mtu anaweza kushinda? Nimeshangaa sana aisee.
1719746367291.png
 
Mkimaliza Spain anawasalimia huku

Ndio maana nasema iundiwe WIZARA YA WAKAMARIA NA WACHANGIA SERIKALI 🤣🤣🤣

Siku ngum kazini
 
BETWAY
1.ODD 19 CODE B11B25B
2.odd 1606 Code B118241
kila lakheri wapambanaji
 
Back
Top Bottom