The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Dah nimecheka kinoma duhnikiwa bored tu huwa nachati chati na wazee wa kuuza.mikeka..
hata ukiwatukana hawajali๐ ๐ View attachment 3066244
ila wewe...๐ ๐ ๐Chenye iko wazi ni ..... ๐๐๐
sportpesaWawekezaji , Game ya simba vs Coastal union na Yanga vs Azam iko kampuni gani maana nina mtaji wa laki 5 nataka nijilipue kwa simba ?
Zipo Sportpesa zoteWawekezaji , Game ya simba vs Coastal union na Yanga vs Azam iko kampuni gani maana nina mtaji wa laki 5 nataka nijilipue kwa simba ?
Kwenye kukata simu hapo namm nipo ishanikuta mara kadhaa nawapigia anapokea kisha anakata zaidi ya x5 mwishon akapokea jamaa anasema muda wa kazi umeshaisha piga kesho nikachokaHivi premier bet nna miaka mingi sijaitumia juzi nkawajaribu kwa stake ndogo tu mkeka ukajibu,Leo nikaivuta kwa njia ya voucher tangu saa 7 mchana hivi hela imekatalia hewani,sio kesi ,kesi unapopiga simu kwao kutaka mssada na msaidizi anakata simu kabla ajakusaidia hii taasisi ya bodi ya kamari tanzania kuna watu watupishe pale wawekwe vijana wanaojua tekenolojia imefikia wapi
Dah wengine tupo sporty betZipo Sportpesa zote
Betting haihitaji watu waoga waoga kama Joanah ๐ ๐
kuna kulipuka na kulipuaView attachment 3066570View attachment 3066571
Hata mda huu nimepiga mara mbili wanapokea halafu wanakata.hela tangu jana hawajarudisha kwenye akaunti kuna kampuni zinavunja sana moyo kwa kweliKwenye kukata simu hapo namm nipo ishanikuta mara kadhaa nawapigia anapokea kisha anakata zaidi ya x5 mwishon akapokea jamaa anasema muda wa kazi umeshaisha piga kesho nikachoka
Kulwa naomba mkeka...Si tulikubaliana uoga wako umasikini wako ๐