Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kwenye kukata simu hapo namm nipo ishanikuta mara kadhaa nawapigia anapokea kisha anakata zaidi ya x5 mwishon akapokea jamaa anasema muda wa kazi umeshaisha piga kesho nikachoka
 
Kwenye kukata simu hapo namm nipo ishanikuta mara kadhaa nawapigia anapokea kisha anakata zaidi ya x5 mwishon akapokea jamaa anasema muda wa kazi umeshaisha piga kesho nikachoka
Hata mda huu nimepiga mara mbili wanapokea halafu wanakata.hela tangu jana hawajarudisha kwenye akaunti kuna kampuni zinavunja sana moyo kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ