Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Betting ni bahati tu ndg,,,, goli lilioingia la mwsho na hata la kwanza ni kauzembe ka kidogo cha wachezaji kimewaghalimu!!

Achana na Man united njoo umuone Aek Athens huku,,,,, kila mechi win leo anakufa nyumbani hata draw hakuna,,,, only licky
Hako kauzembe unakosema ndio uwezo wenyewe mtu mwenye akili timamu awezi kuibetia man u ikicheza na Brighton wewe timu mechi nne mfululizo haijapata hata sare na Brighton halafu uibetie hivi utakua na akili timamu
 
Odds 11 stake laki tano we wakala wa kanji kweli upo kazini.
 
Hako kauzembe unakosema ndio uwezo wenyewe mtu mwenye akili timamu awezi kuibetia man u ikicheza na Brighton wewe timu mechi nne mfululizo haijapata hata sare na Brighton halafu uibetie hivi utakua na akili timamu
πŸ’―
 
pasua nusu twende
 

Attachments

  • 1724569163774.jpg
    184.7 KB · Views: 2
  • 1724569137038.jpg
    149.9 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…