Sawa kazi njema mpe hi bosi wakoMimi nimejiajiri mkuu. Kwa hiyo sifuatiliwi na mtu aliye juu yangu.
Nyinyi hamfai kujiita wakamaria. Wakamaria gani wana mioyo lege lege, wanajikatia tamaa mapema hivi? Mkamaria ni risk taker siyo mambo yanapokuwa magumu anatafuta barabara isiyo na makorongo ya kukimbilia. Kweli nyinyi ni risk takers?Hizo bet mwenyewe
Wewe ni mwanamke! Nilikua anakujibu vizuri unapoendea utanikoma! Wewe sio mkamaria bali ni chawa! Mimi nina eti sana miaka Sema Nitaanza rasmi leo kutupia codes humu,Wewe siyo mkamaria serious, kuna wakamaria serious wapo humu humu JamiiForums, hawaongei sana na wala siyo walalamikaji. Humu kuna watu kama 5 hivi ambao hawafai kujiita risk takers. Na wewe ni mmoja wao. Mioyo yenu legelege sana. Ushauri wangu kwa mioyo yenu hiyo legelege acheni kubeti mkafanye kazi nyingine. Huku ni kwa wanaume tu.
Bet mwenyewe kwani nani kakuambia hajui kuchambua game humu Kila mtu anajua anachokifanya Sasa unalazimishaje mtu abet mikeka yako mshamba weweNyinyi hamfai kujiita wakamaria. Wakamaria gani wana mioyo lege lege, wanajikatia tamaa mapema hivi? Mkamaria ni risk taker siyo mambo yanapokuwa magumu anatafuta barabara isiyo na makorongo ya kukimbilia. Kweli nyinyi ni risk takers?
Sawa mkuuBet mwenyewe kwani nani kakuambia hajui kuchambua game humu Kila mtu anajua anachokifanya Sasa unalazimishaje mtu abet mikeka yako mshamba wewe
Oyaaa ukiona vipi njoo nikuajiri na kwanguSawa mkuu. Nitakuwa na chukua Code zako na nitastake vizuri tu. Tupia Code mkuu turuke nazo. Tumpige kanji mkuu.
2x kumlinda tuYanga ana uhakika akiwa nyumbani,kule Kaitaba lolote linaweza kutokea!!
Unakumbuka ya Ihefu?watu walitia mzingo wa kutosha!!
Me nampa over 3 navunja kibubu2x kumlinda tu
Nimependa CV yako ya kudanganya watu, nitakuajiri sportybetMkuu tupia Code leo hii. Na vipi tunaenda na Sportybet au PARIPESA au Betpawa? Kuhusu kuniajiri usijali mkuu. Wasio na kazi wapo wengi sana mtaani, waajiri.
Yote heri weka unavyoona mkuuMe nampa over 3 navunja kibubu
Mkuu usisahau kutupia Code za Sporty turuke nazo leo.Bet mwenyewe kwani nani kakuambia hajui kuchambua game humu Kila mtu anajua anachokifanya Sasa unalazimishaje mtu abet mikeka yako mshamba wewe
Huku utafanya part time, mimi naingia leo ofisiniSportybet hawana uwezo wa kuniajiri mimi. Na wewe kama wamekuajiri Sportybet basi na wasiwasi utakuwa huwapi matokeo yanayofanana na mshahara wanaokulipaπ.
Wewe unaumwa kweli kampuni inaidhamini Madrid kidampa kama wewe ndio uje uipeleke levo nyingineKama nikiajiriwa hapo Sportybet basi nitaipeleka level nyingine, licha ya ukweli kuwa sijawahi kuajiriwa na kampuni yoyote.
Mkuu mimi nita Play part yangu ipasavyo. Wewe unanifahamu vizuri? Unajua uwezo wangu wa ndani? Unajua na vipaji vyangu? Kwani walioifikisha Sportybet hapo ilipo ni watu tofauti na mimi au wao wametoka kwenye nyekundu?Wewe unaumwa kweli kampuni inaidhamini Madrid wewe ndio uje uipeleke levo nyingine
Wakuu c tunasubiri codeMkuu mimi nita Play part yangu ipasavyo. Wewe unanifahamu vizuri? Unajua uwezo wangu wa ndani? Unajua na vipaji vyangu? Kwani walioifikisha Sportybet hapo ilipo ni watu tofauti na mimi au wao wametoka kwenye nyekundu?
Wewe huna uwezo Wala kipaji chochote Cha kUWEZA kuitangaza sportybet kama inavyotangazwa na real Madrid dunianiMkuu mimi nita Play part yangu ipasavyo. Wewe unanifahamu vizuri? Unajua uwezo wangu wa ndani? Unajua na vipaji vyangu? Kwani walioifikisha Sportybet hapo ilipo ni watu tofauti na mimi au wao wametoka kwenye nyekundu?
Sawa mkuu usijali. Mengine yote hapa ni utani. Kila siku tunachangamsha tu kijiwe. Lengo la kuwa hapa ni kutengeneza hela kupitia bettingWakuu c tunasubiri code
Mkuu ongea na mabosi wako wa Sportybet, waambie wanitafute tufanye kazi. Tuipeleke kampuni kunakotakiwa. Uwezo wangu utaonekana nikianza kazi. Shida ni je wataweza kufuata masharti yangu?Wewe huna uwezo Wala kipaji chochote Cha kUWEZA kuitangaza sportybet kama inavyotangazwa na real Madrid duniani