Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mkuu kulikuwa kuna haja gani ya kumwambia hajui kubet? Mkuu hiyo hela ya kwenye kibubu cha Tigo pesa kwangu ni mboga tu.
Sawa nionyeshe hiyo hela ya mboga niamini kweli kama ni ya mboga kwako kama hiyo niliyokuonesha ya kibubu
 
milioni 10 kwenye infinix.........😀
by the way hio mada yenu kama mnatoka nje ya uzi hivi..........
mwenye code jambo la kurocha ods 1000 aweke tumtafute kanji
 
Sawa nionyeshe hiyo hela ya mboga niamini kweli kama ni ya mboga kwako kama hiyo niliyokuonesha ya kibubu
Kwa bahati mbaya siyo mtu wa mambo ya kubragg. Pia siyo wote wanaweka hela zao kwenye simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…