Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kilichonifanya niweke pesa kwenye paripesa leo cjui ni shetani gani


Tangu asubuhi mpk sasa hawajaweka pesa dah
 
Ila mawakala wa 1xbet sometimes vichefuchefu sana

Toa saa 2 hadi sasa wakala anasua sua kunilipa 75k tu

Paripesa ukiweka hela hazifiki
Helabet hakuna option ya kutoa kwa simu

Hizi kampuni za kirusi zinazingua sana wakati mwingine
 
Umeandika pumba tupu hujui ninachokiongea
 
Ila mawakala wa 1xbet sometimes vichefuchefu sana

Toa saa 2 hadi sasa wakala anasua sua kunilipa 75k tu

Paripesa ukiweka hela hazifiki
Helabet hakuna option ya kutoa kwa simu

Hizi kampuni za kirusi zinazingua sana wakati mwingine
Hahaha unawekaje pesa kwenye hayo makampuni au ndio kukimbia kulipa Kodi🤣🤣🤣🤣
 
Ila mawakala wa 1xbet sometimes vichefuchefu sana

Toa saa 2 hadi sasa wakala anasua sua kunilipa 75k tu

Paripesa ukiweka hela hazifiki
Helabet hakuna option ya kutoa kwa simu

Hizi kampuni za kirusi zinazingua sana wakati mwingine
Tumia betwinner kuweka kwa simu kwa tigopesa ni bure wako vizuri pesa inafika kwa wakati option zote za 1xbet unazipata
 
Haya makampuni ya kubet usipokua makini unapigwa huku unajiona, angalia hapo BETPAWA walichokifanya wamebadilisha timu makusudi yani timu ya nyumbani wameipeleka ugenini na ya ugenini wameiweka nyumbani. Naingia livescore sasahivi ndo naona kinachoendelea kwahiyo kama ulimpa wa ugenini ashinde au wanyumbani ashinde inakula kwako
 

Attachments

  • Screenshot_20240907_124218_Flashscore.jpg
    44.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240907_124236_Chrome.jpg
    67.6 KB · Views: 4
Wanaangalia jina la timu sio home ama away
 
Ila mawakala wa 1xbet sometimes vichefuchefu sana

Toa saa 2 hadi sasa wakala anasua sua kunilipa 75k tu

Paripesa ukiweka hela hazifiki
Helabet hakuna option ya kutoa kwa simu

Hizi kampuni za kirusi zinazingua sana wakati mwingine
Hili ndo limenikuta hapa,,, paripesa tangu asubuhi hawajaweka Salio kwenye wallet,,,, walimambia ndani ya masaa matatu mpk sasa masaa manne,,,,,,
Sa cjui ndo niandikie hasara bin wamenikwapua
 
Nani ana namba ya wakala wa uhakika jamani nataka nitoe kahrla kangu ka supu
 
Hili ndo limenikuta hapa,,, paripesa tangu asubuhi hawajaweka Salio kwenye wallet,,,, walimambia ndani ya masaa matatu mpk sasa masaa manne,,,,,,
Sa cjui ndo niandikie hasara bin wamenikwapua
Wataweka lakini ndio hadi maumbuane sana
 
Hili ndo limenikuta hapa,,, paripesa tangu asubuhi hawajaweka Salio kwenye wallet,,,, walimambia ndani ya masaa matatu mpk sasa masaa manne,,,,,,
Sa cjui ndo niandikie hasara bin wamenikwapua
Hizo kampuni za kirusi bila kusumbua wateja hazipatagi furaha yaani wao furaha Yao ni kusumbua wateja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…