Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Yule jamaa aliyempiga mhindi back and forth jina lake ndio hilo kwa twitter, leo amekosa Million 100 timu moja imemharibia wale wazee wa straight WIN muwe mnachungulia kwake hata leo kashusha mkeka mwingine naona ligi zikianza uwezekano wa kula ni mkubwa mno.

Jamaa ana bahati sana...
 

Attachments

  • IMG_5986.png
    1 MB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…