Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Imefika hapo bora huu mkeka ningeweka 60k imeliwa kiajabu sana na nigeria

View attachment 3092670
Cashout yenye zaidi ya mara 10 hiyo inapaswa kuchukuliwa. Baadae utajilaumu

But kwa nn watu mnaweka timu nyingi? Mbili tu zinatosha then stake inakua ya maana
Mfano leo Egypt, England, Algeria zilikua uhakika kwa stake ya maana
 
Screenshot_20240910_210907_org.starz888.client.jpg
 
Back
Top Bottom