Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Cashout yenye zaidi ya mara 10 hiyo inapaswa kuchukuliwa. Baadae utajilaumu
100mil inawezekana wapo Ila sijawahi kuwaona. Naowajua wanawekaga mil 50Hivi wadau bongo hii Kuna watu wanaweza kustake 100million
Sio poa Mimi nilitia milion 10 mwezi uliopita game ya Madrid jasho lilinitoka Jude alivyokua anakosa magoli100mil inawezekana wapo Ila sijawahi kuwaona. Naowajua wanawekaga mil 50
Epuka Madrid akiwa anacheza la liga awe home au awaySio poa Mimi nilitia milion 10 mwezi uliopita game ya Madrid jasho lilinitoka
Ilikua game ya ufunguzi UEFA akiwa na AtalantaEpuka Madrid akiwa anacheza la liga awe home au away
Epuka Barca akiwa popote
Epuka man utd popote pale
Usimuamini sana Arsenal
Unamaanisha ulibet kwa kuipa Tanzania?Bet kazi kweli !!!ebu fikilia feytoto kashindwa Piga pale kama sio nae Kabet nini? Kulkua nahaja gani yakutoa pasi
Hiyo wala haina presha, ilikua uhakika lazima Madrid ashinde. Madrid anazingua akiwa la liga tuIlikua game ya ufunguzi UEFA akiwa na Atalanta
Yaani mkuu betting inapesa ukistake high tatizo joto la dakika 90 sio poaHiyo wala haina presha, ilikua uhakika lazima Madrid ashinde. Madrid anazingua akiwa la liga tu
Kuna game zipo open. Mfano leo ya England ipo open kabisaYaani mkuu betting inapesa ukistake high tatizo joto la dakika 90 sio poa
Aisee mkuu tatizo moyo uwe mgumu kama hiyo game ya england ukistake 10m faida million Moja na laki 5 aisee betting MTAJI Yaani inatakiwa ukitia 10m ubakize 10m nyingine pembeni ambayo Haina kazi maana inaeza pigwa ukibaki empty ni stressKuna game zipo open. Mfano leo ya England ipo open kabisa
Huu mkeka kimasihara unaenda kutoaF25B41 SPORTYBETY. mpaka sa 3 usiku ni kucheka tuuu leo
Huu mkeka kimasihara unaenda kut
Mi kidole kila nikiweka nasita mara chwaaa 1:2 dah
Kawaida hiyo hii ni betting usishangae jamaa wakaja kutoa sare nyumbani usijilaumu sanaaMi kidole kila nikiweka nasita mara chwaaa 1:2 dah
Hongera sana mkuu
Ndio mara ya kwanza nawatumia hawa jamaa, nimepata mtaji kakaHongera sana mkuu
usiogope kuamn taifa lako asa kukiwa namakocha wazawaUnamaanisha ulibet kwa kuipa Tanzania?
Safi sana mkuu. Hawa jamaa hawana kodi mkuu.Ndio mara ya kwanza nawatumia hawa jamaa, nimepata mtaji kaka