Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Mzee hiyo michezo tunaijiua vizuri usione humu ndani wakuja hiyo michezo tunaijiua sportybet huwezi kudanganya edit sababu Kuna code unaweka unaona mkeka mzima na jamaa code zake tulishaweka na tukaona mkeka mzima kashinda kweliBasi tuishie hapa, hata nikileta halisi Utasema ni edit. Umejuaje kuwa nimeedit? Iliyoeditiwa inakuwaje na ambayo haijaeditiwa inakuwaje? Usicho jua ni kuwa kampuni ambayo unaweza ku manipulate watu kwa ku edit ni Sportybet na siyo kampuni za Mrusi.
Basi tuishie hapa, hata nikileta halisi Utasema ni edit. Umejuaje kuwa nimeedit? Iliyoeditiwa inakuwaje na ambayo haijaeditiwa inakuwaje? Usicho jua ni kuwa kampuni ambayo unaweza ku manipulate watu kwa ku edit ni Sportybet na siyo kampuni za Mrusi.
Basi tuishie hapa, hata nikileta halisi Utasema ni edit. Umejuaje kuwa nimeedit? Iliyoeditiwa inakuwaje na ambayo haijaeditiwa inakuwaje? Usicho jua ni kuwa kampuni ambayo unaweza ku manipulate watu kwa ku edit ni Sportybet na siyo kampuni za Mrusi.
Unatumia laini gani kujisajili mkuu?
Hiyo Sportybet wameleta huduma ya kuverify baada ya kuona watu wengi wanapigwa. Mkuu kama kuedit ni rahisi hebu jaribu kuedit hata kidogo kisha nitumie hiyo edit yako. Pia, tambua kuwa siwezi kupoteza muda wa kuedit kitu ambacho siyo sahihiMzee hiyo michezo tunaijiua vizuri usione humu ndani wakuja hiyo michezo tunaijiua sportybet huwezi kudanganya edit sababu Kuna code unaweka unaona mkeka mzima na jamaa code zake tulishaweka na tukaona mkeka mzima kashinda kweli
Wewe unatumia demo account mzee tafuta watu wa kuwadanganya hiyo michezo ya mwaka 2015 ndio walikua wanapigwa watu Sasa hivi utawadnganya wakuja ungekua hauedit Wala usingejaribu kubishana na Mimi ila kwakua huo ndio ukweli lazima ubishaneHiyo Sportybet wameleta huduma ya kuverify baada ya kuona watu wengi wanapigwa. Mkuu kama kuedit ni rahisi hebu jaribu kuedit hata kidogo kisha nitumie hiyo edit yako. Pia, tambua kuwa siwezi kupoteza muda wa kuedit kitu ambacho siyo sahihi
Ingia inbox mkuuAirtel
Sawa mkuu. Siku njemaWewe unatumia demo account mzee tafuta watu wa kuwadanganya hiyo michezo ya mwaka 2015 ndio walikua wanapigwa watu Sasa hivi utawadnganya wakuja ungekua hauedit Wala usingejaribu kubishana na Mimi ila kwakua huo ndio ukweli lazima ubishane
Game ya kenGold ikiisha mnishtue nichukue 11000 yangu, Beer 4, sigara za buku. Siku imeishaWewe unatumia demo account mzee tafuta watu wa kuwadanganya hiyo michezo ya mwaka 2015 ndio walikua wanapigwa watu Sasa hivi utawadnganya wakuja ungekua hauedit Wala usingejaribu kubishana na Mimi ila kwakua huo ndio ukweli lazima ubishane
MKUUU WALIKUJA WATU MIAKA YA NYUMA WANALETA CODES NZURI TU WAKAFURAHIWA WAKASHURUKIWA GAFLA WAKANZA KUAMBIWA WANAEDIT.....Basi tuishie hapa, hata nikileta halisi Utasema ni edit. Umejuaje kuwa nimeedit? Iliyoeditiwa inakuwaje na ambayo haijaeditiwa inakuwaje? Usicho jua ni kuwa kampuni ambayo unaweza ku manipulate watu kwa ku edit ni Sportybet na siyo kampuni za Mrusi.
Mkuu sio kila mtu wakumjibu …codes zako nyingi zimetiki kwangu , mimi shahidi wa hilo . Endelea kutupa codes kule telegram na whatsapp , usikatishwe tamaaSawa mkuu. Siku njema
Asante sana mkuu na nimekuelewaMkuu sio kila mtu wakumjibu …codes zako nyingi zimetiki kwangu , mimi shahidi wa hilo . Endelea kutupa codes kule telegram na whatsapp , usikatishwe tamaa
Niko na backup, nalala kidogo
Hatakwangu imenigomeaNikiitafuta huko google inagoma kufunguka website yake
Asante sana mkuu. Umenipa nguvu sanaMKUUU WALIKUJA WATU MIAKA YA NYUMA WANALETA CODES NZURI TU WAKAFURAHIWA WAKASHURUKIWA GAFLA WAKANZA KUAMBIWA WANAEDIT.....
USIHOFU MKUU HATA YESU ALIKATALIWA FANYA KILE MUNGU ANAKUONYESHA KWA AJILI YA WATU
WANACHOSAHAU MUNGU AKUPI UNACHOTAKA BALI UNACHOSTAHILI
WACHA WAANDIKE WAONGEE FANYA KILE MUNGU ANAKUONYESHA MKUU......CONGS N STY BLSD ALWAYS
Huyu mwamba hana Longo Longo ,.. Mikeka yake mbona inatoaga tu,.. Hatafutagi mil 90 huyu, ukiweka laki ukala laki au 80 per day si faida pia, kwa mwezi ni sh ngapi?Tuonyeshe hata 20m kwenye account Yako ya mrusi Ili tuone kweli wewe waga unashinda na hauedit
Nguvu ya kuendelea kulisha watu lostAsante sana mkuu. Umenipa nguvu sana
Hilo swala Sijakataa ila yeye jambo ya la kulazimisha eti option za kampuni za mrusi pekee zinaweza kukupa win ni uongo na ndio nimempinga nimemuambia mbona Kuna jamaa kamlamba sporty bet Kwa option za win tu tena kama milion 90Huyu mwamba hana Longo Longo ,.. Mikeka yake mbona inatoaga tu,.. Hatafutagi mil 90 huyu, ukiweka laki ukala laki au 80 per day si faida pia, kwa mwezi ni sh ngapi?
Betting si tamaa, izo za mil 90 si malengo ya kula kila siku na ikitokea ni bahati tu, that's why watu hawali kila siku izo mol 90