The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Nimekumbuka ulisema utampiga sana muhindi vipi mkuu tupeane mbinu.Liver naye anaharibuView attachment 3095796
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumbuka ulisema utampiga sana muhindi vipi mkuu tupeane mbinu.Liver naye anaharibuView attachment 3095796
Kesho nayo sikuMajini ya muhindi ayoo
Bado kuna game za usikuKesho nayo siku
Aaaaah nalala kidogo, siku nikiweka pesa ndogo aaaah nakula, nikitia mzigo mazonge kibao daah, Nasubiria ukitupia mkeka wa usiku.. Poleni sana jamaniHapo Nottingham akifunga goli la pili matumaini yetu yatarejea
Nimekumbuka ulisema utampiga sana muhindi vipi mkuu tupeane mbinu.
Sasa hata uombe goli moja ni chenga pia, ukizuia ni mvua za magoli....brighton 0..0ftKaka huu mchezo hauna maana kabisaa
Leo nimeamka sina balance kuchek game naona pesa nje nje, nikamwambia mama P nipe kwanza 20k nikaongezee hela ya mzigo. Alivyonipa tu chapu nikamcheck wakala atie 20k kwenye mpesa, nikasuka mkeka na RB Yumo. Inabidi nijichange upya tuSasa hata uombe goli moja ni chenga pia, ukizuia ni mvua za magoli....brighton 0..0ft
Liver viboga tu.
Sasa hata uombe goli moja ni chenga pia, ukizuia ni mvua za magoli....brighton 0..0ft
Liver viboga tu.
Kwakweli siku ya jmosi siyo kabisanilisuka mikeka 2 ya kimkakati, mmoja alikuwepo liver (win) mwingine brighton win.......
ni kisanga mkuu,Kwakweli siku ya jmosi siyo kabisa
Hapa Azam kashilia hatima ya mkeka wanguGKJX4
1xbet
Leo natoka na Direct Win
Najua hamna imani na Man U ila leo anashinda
Ukistake high itapendeza zaidi
Vinginevyo STAKE WHAT YOU CAN AFFORD TO LOSE 🙏🙏🙏
😂😂😂Licer kwumamae. Tuka renew maoama maofisa ubashiri