Ukiweka wako kipigoEndelea kuchezea vipigo vya kucopy maana akili Yako imesimama unakalia kucopy mikeka ya watu
Nikiweka wangu sipigwiUkiweka wako kipigo
Ukicopy kipigo
So lazma ujue unasimama wapi
Mie nimesimamia hapo
Kaz kwako sasaaaaaaa
Basi share na wanajukwaa tupige mapesa ya kanjiiNikiweka wangu sipigwi
Siwezi kushare napiga peke yanguBasi share na wanajukwaa tupige mapesa ya kanjii
Basi sawaSiwezi kushare napiga peke yangu
Supu ya asubuhi
Maafisa wabashiri hii ligi ya Mexico huwa ina magoli sana.
Huwa napendelea kucheza option ya Over kipindi cha pili hasa kuanzia dakika 70 odds zinakuwa zinapanda.
Muwe mnajaribu hiyo ligi.
NB
- Sema mechi huwa ni za usiku mnene na Alfajiri.
Anataka umPM akupigeBasi sawa
acha sie tuendelee ku share code tukipigwa tunapigwa sote na tukipiga tunapiga sote.
Hongera sanaBoom 💥 Supu
View attachment 3096032
Mkuu una withdraw vipi kupitia mitandao ya kawaida, au mawakala wanafanya kazi bado?Mkuu sipo kwenye ID ya Kayombo Tips, kwa sababu Wamenipiga ban. Pia Odds Mbili zipo kwenye channel Ya Kayombo Tips
Odds za jana zilitoa kama hivi View attachment 3072401View attachment 3072411
Kuna sehemu ya kwenye app ya kubetia imeandikwa Withdraw. Ukibonyeza hiyo sehemu itakuletea option za kutoa pesa yako. Wewe utachagua option uliyotumia kusajili akaunti yako. Kama ulitumia Voda, Utachagua Vodacom, na kama ulitumia Astropay utatumia hiyo njiaMkuu una withdraw vipi kupitia mitandao ya kawaida, au mawakala wanafanya kazi bado?
Sasa wewe inakuuma nini? We ukitumia akili yako inatosha mkuu siyo ulazimishe kila mtu aishi unavyotaka, punguza unokoEndelea kuchezea vipigo vya kucopy maana akili Yako imesimama unakalia kucopy mikeka ya watu
Inakuja hivi, hakuna mitandao ya kawaidaKuna sehemu ya kwenye app ya kubetia imeandikwa Withdraw. Ukibonyeza hiyo sehemu itakuletea option za kutoa pesa yako. Wewe utachagua option uliyotumia kusajili akaunti yako. Kama ulitumia Voda, Utachagua Vodacom, na kama ulitumia Astropay utatumia hiyo njia
Angalia usiachane na mama P kwa huu ufala....Leo nimeamka sina balance kuchek game naona pesa nje nje, nikamwambia mama P nipe kwanza 20k nikaongezee hela ya mzigo. Alivyonipa tu chapu nikamcheck wakala atie 20k kwenye mpesa, nikasuka mkeka na RB Yumo. Inabidi nijichange upya tu