Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Boom 💥 Supu
Screenshot_20240915_072302.jpg
 
Supu ya asubuhi
Maafisa wabashiri hii ligi ya Mexico huwa ina magoli sana.

Huwa napendelea kucheza option ya Over kipindi cha pili hasa kuanzia dakika 70 odds zinakuwa zinapanda.

Muwe mnajaribu hiyo ligi.

NB
- Sema mechi huwa ni za usiku mnene na Alfajiri.
 

Attachments

  • IMG_6127.jpeg
    IMG_6127.jpeg
    535.8 KB · Views: 5
Atl Madrid w
Celtavigo w
Willern ii w
Tottenham w
Inter w
Roma w
Lyon w
Al ahly w
Asec mimos w
Simba gg
Asv salzburg ov 2.5
Leuven gg
GENK gg
Antwerp ov 2 .5
GENK u23 gg
Pk ur test
 
Supu ya asubuhi
Maafisa wabashiri hii ligi ya Mexico huwa ina magoli sana.

Huwa napendelea kucheza option ya Over kipindi cha pili hasa kuanzia dakika 70 odds zinakuwa zinapanda.

Muwe mnajaribu hiyo ligi.

NB
- Sema mechi huwa ni za usiku mnene na Alfajiri.

Naunga mkono hoja Yako

Mie nimekuwa nikizicheza mnoo hizo

Na hii nimeiweka ktk mkeka wangu unaoishia leo

Na huwa naicheza Sana league hiyo,ni Sawa na Brazil Serial A kwa Corners huwa kibao

Screenshot_20240915-075155.png
 
Leo nayo ni siku, Liverpool anadhani peke yake ndo ana UEFA sijui wachezaji wengine aliwapumzisha, mbona city anayo
 
Mkuu una withdraw vipi kupitia mitandao ya kawaida, au mawakala wanafanya kazi bado?
Kuna sehemu ya kwenye app ya kubetia imeandikwa Withdraw. Ukibonyeza hiyo sehemu itakuletea option za kutoa pesa yako. Wewe utachagua option uliyotumia kusajili akaunti yako. Kama ulitumia Voda, Utachagua Vodacom, na kama ulitumia Astropay utatumia hiyo njia
 
💯
AAugsburgw or d
Ath bilbao w.d
Ginoa ov 1.5
TTotty ov 1.5
celta v und 4.5
Mxb
 
Kuna sehemu ya kwenye app ya kubetia imeandikwa Withdraw. Ukibonyeza hiyo sehemu itakuletea option za kutoa pesa yako. Wewe utachagua option uliyotumia kusajili akaunti yako. Kama ulitumia Voda, Utachagua Vodacom, na kama ulitumia Astropay utatumia hiyo njia
Inakuja hivi, hakuna mitandao ya kawaida
Screenshot_20240915-080743.jpg
 
Leo nimeamka sina balance kuchek game naona pesa nje nje, nikamwambia mama P nipe kwanza 20k nikaongezee hela ya mzigo. Alivyonipa tu chapu nikamcheck wakala atie 20k kwenye mpesa, nikasuka mkeka na RB Yumo. Inabidi nijichange upya tu
Angalia usiachane na mama P kwa huu ufala....
 
Back
Top Bottom