Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Nikimbilie kucashout nakutana na kitu kizito haya bana arsenal all dbest
 
Bwana piganana wanaopugana nami

Teta na wanaoteta nami
 
barca kapita na treni languuu aiseeee kazinikwamhindikunakazii dah
Kule arsenal kaoita na kakumi kangu

Yote heri kupumzika kesho nayo kazi
 
Unaogopa kuweka Over 1.5, unaweka 0.5 nako unachezea za uso, unasema acha niweke under 5.5 watu wanafungana 9
Hii kazi hataree sana mkuu n zaidi ya vita ya madawa ya kulevya mtandaooo wake smkubwaa sanaasanaa worldwide
 
wanakuwa kama wameshika simu zetu
πŸ˜‚
πŸ˜‚
πŸ˜‚

😒
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila Betting haijawah kua Rahisi asee
Usiseme hivyo kaka, mikeka yangu ni miwili na niko vizuri,,
Aisee haya ni maaaajabu
 

Attachments

  • Screenshot_20240920_002258_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    159.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240920_002344_com.sportybet.android.gp.tz.jpg
    163.7 KB · Views: 4
Wakuu naomba kuuliza nimeona kuna baadhi ya stats kama shots on, saves zinakuwa zinatofautiana kutokana na livescore app husika mfano flashscore.com livescore.com n.k

Sasa naomba kuuliza Ipi inakuwa na taarifa sahihi au za ukweli maana hapa sielewi
 
Wakuu naomba kuuliza nimeona kuna baadhi ya stats kama shots on, saves zinakuwa zinatofautiana kutokana na livescore app husika mfano flashscore.com livescore.com n.k

Sasa naomba kuuliza Ipi inakuwa na taarifa sahihi au za ukweli maana hapa sielewi
Tumia sofascore au aiscore wapo vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…