halichachi bando
Senior Member
- Feb 17, 2018
- 122
- 166
Hahahah kuna mwamba alitoa tahadhari kuhusu kubetia tim kubwa bcoz inawez kulost bcoz game za uefa next weekBarcelona wanakatwa na P didy 😡😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah kuna mwamba alitoa tahadhari kuhusu kubetia tim kubwa bcoz inawez kulost bcoz game za uefa next weekBarcelona wanakatwa na P didy 😡😡
Naunga mkono Hojaaaawiki hii nimejifunza somo kubwa sana kuhusu matreni,
last week nilisuka treni nikaweka 1000 ili itoe 190k, alibaki man utd peke yake vs twente wakanipa cashout ya 110k nikagoma..... ngoma lost
jana nilisuka treni la hadi alhamis nikatia 1k ili nivune 5.3m bayern nilimpa over 1.5 (individual total), ilipofika ht wakanipa cashout 90k, nimegoma....lost!
hapa nimegundua dawa ya treni ni kustake mara 2 (mfano leo ningecashout mmoja na kubaki mwingine, still ningepata faida kubwa!).......
nashauri wapenda treni, hata kama unastake 100, bora ustake mara 2 utapata faida hata mara 100 yake lakini ukistake moja inakua ngumu ku-cashout wakati unaona dalili za kushinda zipo kumbe kuna vibwengo kama man u wanachana!
..... unaesuka treni jitahidi sana ustakw mara 2, kuna namna utapata faida mana mengi huchanika baada ya game 10+, unakuta umebakiza game 10 kati ya 30+ linachanika
Kikosi alichoanzisha sio kabisaBarca anasepa na kijiji
Ana uefa mbele hapo mkuuKikosi alichoanzisha sio kabisa
🤣🤣Wa Marekani yule mpaka mafuta wanaume 😡
😂😂😂😂😂😂Wa Marekani yule mpaka mafuta wanaume 😡
Umeongea kitu kikubwa na cha maana sana. Wiki mbili zilizopita alikuwa LiverpoolUEFA+ EUROPA
Huu mfumo wa kucheza kama league utatuchania mikeka mpaka basi
League za ndani zinakuwa hazina uhakika
Kila Team inalinda wachezaji wake kwa International Games
Itatucost mnooo hii
Lazima plans options zibadili
Unauliza au unabrag??Niletee zilizobakia au niwaache?
Kapata 1Barca anapumulia okseji huko
Kaka footer tayarriiiSchalke akipata goli 2
Na benfica goli 2 mnishtue
......nimependa hiyo kustake mara 3, naichukua mkuu......Naunga mkono Hojaaaa
Mie mara kibao na CASHOUT chumba hicho
Na jingine kwa SGR lovers
Stake high kwenye Train,
Mfano train la milioni 90 au 50,ukistake 10,000 basi Mechi zikifoka robo tu basi pesa nzuri mnoo na hata winning margin ya kila match CASHOUT inapanda kwa Kasi mnoo
We mfano unaweka Tsh:20 tu,Mechi 10 zikitiki ubakimia kenye 1,000 naaa
Good that tunakumbushana
Mie train huwa na stake mikeka 3 ktk,Tangu nione majanga ya CASHOUT yanazingua