donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
D3C9AB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akaunti nilitengeneza na nilifanikiwa kuweka kiasi cha shilingi 10,000. Shida ni kwamba kila nikitaka kuplace bet naletewa ujumbe huo wa maandishi mekunduKwani ule mkeka ulilipia na ikawa won halafu hawakulipi?
Ama ni akaunti yako katika line yako haikubali?
Au ulikosea kwenye mwaka umri unaonnekana under 18. Jaribu kucheki details zakoAkaunti nilitengeneza na nilifanikiwa kuweka kiasi cha shilingi 10,000. Shida ni kwamba kila nikitaka kuplace bet naletewa ujumbe huo wa maandishi mekundu
Nikiwasiliana nao wanasema akaunti ipo kwenye uhakiki. Miezi mitano sahz naambiwa hivyo.
View attachment 3112021
Kwanini inbox si uziweke hapa?? Odds za uhakika as.....???Nina odds za uhakika any interested inbox me
Nina odds za uhakika any interested inb
Analeta mambo ya fbKwanini inbox si uziweke hapa?? Odds za uhakika as.....???
AlldbestCongratilulation it boom 6/6✅✅✅✅✅💯
kama ulifwata
BADO HUJAKUA. MIMI NATUPIA 2M KWA ODD YA 1.05 SIZIDI HAPO TOKA NIANZE HIVYO SIJAPOTEZA HATA SLIP MOJA TOKA MSIMU UANZE.nina ugonjwa wa kuzichukia odd ndogo huwa napendaga kuanzia odd 500 nikiona mkeka una odd kuanzia 200 namdhara hata msuka huo mkeka naonaga wanaakil ndogo ya kuku
AiseeBADO HUJAKUA. MIMI NATUPIA 2M KWA ODD YA 1.05 SIZIDI HAPO TOKA NIANZE HIVYO SIJAPOTEZA HATA SLIP MOJA TOKA MSIMU UANZE.
mkeka wa leo huu unatamanisha ila unaogopesha, 🤨🤨stuttgart w
Newcasle w
Barcelona 3+
Inter w
Mancity 3+
Alldbest