Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Niliweka 500 kwa simba kutoa over 1.5 goals 1H odds 3 hizo zikawin safi kabisa.
Nikasema mambo si haya! nikaenda kujilipua shop kwa odds 1.37 ashinde SECOND HALF nikijua ni uhakika nimeishia kulia tu.
 
Dah kampuni ni sportybet bwana asikudanganye mtu
Flashsave imeniokoa kwa simba ya Camara mkeka unapumua licha ya draw
Kwani "flash save" ni sawa na "2up" ?
Maana mechi ya Simba haikua na option ya 2up, sasa inakuaje mkeka uendelee kupumua? Mimi nilishakata tamaa nilijua mkeka ushachanika ila nilivyoona post Yako nikarudi chap SPORTYBET nakuta mkeka unapumua aisee.
Hii flash save ndo kitu gani?
 
Ndiyo yenyewe
 
Leo machale yalinicheza sikubet nacheki result dah sijaamini niliacha simba anaongoza 2
 
Zinafanana ila utofauti wake mimi nilivyoona hii flash save ni system yenyewe automatic inaamua kulingana na aina ya mechi yenyewe ila huku kwenye 2Up ww mwenyewe unaset na kumbuka kwenye kuset 2up kuna odds zinapungua
 
Hii flashwin itamfirisi muhindi, anaitoa siku sio nyingi. Naona simba nae alipewa flashwin baada ya kuongoza goli mbili
 
Zinafanana ila utofauti wake mimi nilivyoona hii flash save ni system yenyewe automatic inaamua kulingana na aina ya mechi yenyewe ila huku kwenye 2Up ww mwenyewe unaset na kumbuka kwenye kuset 2up kuna odds zinapungua
Sawasawa hapo nimekuelewa vizuri
 
Dah kampuni ni sportybet bwana asikudanganye mtu
Flashsave imeniokoa kwa simba ya Camara mkeka unapumua licha ya draw
hii option sportybet wamefanya unyama sana!
hata jana iliokoa kwa man yu[emoji23]
 
Hii flashwin itamfirisi muhindi, anaitoa siku sio nyingi. Naona simba nae alipewa flashwin baada ya kuongoza goli mbili
hata itoa, inampa wateja sana hiyo!
pia anaangalia na game, mfano jana kwa utd alitoa kwenye "2UP" ila flashsave kwa game huwa hatoi,

kuna game ikifika dk ya 80+ kama timu kubwa inaongoza 1-0 dhidi ya kibonde huwa anatick mkeka (direct win au dc),
 
hata itoa, inampa wateja sana hiyo!
pia anaangalia na game, mfano jana kwa utd alitoa kwenye "2UP" ila flashsave kwa game huwa hatoi,

kuna game ikifika dk ya 80+ kama timu kubwa inaongoza 1-0 dhidi ya kibonde huwa anatick mkeka (direct win au dc),
Yap, offcourse flashsave lazima aweke kwenye mazingira ambayo ni ngumu sana matokeo kubadilika mfano game ya galatasaray last saturday anaongoza 3-0 pale haiwezekani kufikiria kwa madogo wangewe,a kuchomoa zote tatu.
 

ODDS 2 WENYE PARIPESA

Booking Code: YKVED

📌 Jisajili PARIPESA Hapa👇.

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424 to

📌 Pata Bonus Ya 250000 Kwenye PARIPESA Ukijiunga Leo Na Kuweka Promo Code TIPS2424
 
Sijawai kubet ila nna shida ya kodi ya kupanga nadaiwa na mwenye nyumba hataki hadith yoyote nipeleke kodi au apige kufuli lake.

Nimewaza kupata helq ya chap chap labda nijaribu betting. Naisaka laki 9 .

Wenye kuguswa mnishauri mimi sijui kabisa betting nimeamasika baada kuona dogo mtaani kapata million mbili aliweka elfu 20 timu kumi zifungane magoli nafikiri kila timu iweke goli haijalishi matokeo nikaona kumbe inawezekana.

Nataka niichome elfu 30 yangu ebu mnisaidie nifanyeje niweke vipi mikeka yangu walau mitatu au minne nipate million, nikiliwa basi nitaachana kabisa na hizi ishu coz sikuwai kuvutiwa nazo.

Unaweza pia kunichek PM unisaidie, nabetia shida sina namna.
 
Shortcut siku zote ni hasara. Usipaniki Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…