Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kiongozi kwema? Paripesa nimeweka balance masaa sasa yanakata hawajaongeza kwenye account chochote
Ni kwangu tuu ama?
Sijajua tatizo linaanzia vodacom au wapi maana huko twitter kuna mtu ameweka hela toka jana helabet kutokea vodacom nako pia haijafika.

Mimi nimeweka hela kupitia tigo imefika haraka sana.

Changamoto ya hizi kampuni ikifikia swala la kutaka support kwenye issue yoyote ni ngumu sana kukusaidia, yani wanaweza kukuzungusha hadi ikaisha wiki nzima.

Uzuri uliopo tu ikitokea kabisa imeshindika hela kuingia itarudi kwenye MPESA yako ndani ya wiki moja.

ONYO:
Kwa kuwa imeshakwama mara ya kwanza usirudie tena ku deposit itaenda kukwama njiani nayo labda kama ni kampuni nyingine tofauti na VODA.
 
Sijajua tatizo linaanzia vodacom au wapi maana huko twitter kuna mtu ameweka hela toka jana helabet kutokea vodacom nako pia haijafika.

Mimi nimeweka hela kupitia tigo imefika haraka sana.

Changamoto ya hizi kampuni ikifikia swala la kutaka support kwenye issue yoyote ni ngumu sana kukusaidia, yani wanaweza kukuzungusha hadi ikaisha wiki nzima.

Uzuri uliopo tu ikitokea kabisa imeshindika hela kuingia itarudi kwenye MPESA yako ndani ya wiki moja.

ONYO:
Kwa kuwa imeshakwama mara ya kwanza usirudie tena ku deposit itaenda kukwama njiani nayo labda kama ni kampuni nyingine tofauti na VODA.
Vodacom wana shida. Nimetumia mtandao mwingine unafanya kazi vizuri
 
Crystal Palace - Liverpool: 2
Manchester City - Fulham: 1
Arsenal - Southampton: 1
Inter - Torino: 1
Kwa mikeka zaidi ya leo 05/10/2024 tembelea link hapa chini
 
-yy4ytv.jpg

MKEKA WA SIKU KWENYE PARIPESA

Booking Code: YRGBE

📌 Kama Huna Akaunti Ya PARIPESA Jiunge PARIPESA Hapa👇.

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424

📌 Pata Bonus Ya 250000 Kwenye PARIPESA Ukijiunga Leo Na Kuweka Promo Code TIPS2424
 
Kodi la 9, Elfu 50 huna 🤣🤣🤣

Acha KAMARI.

Utafilisika mpaka AKILI

Kamari haijawa mtatuzi sahihi wa shida za dharura,Ugonjwa wa Sonona inakuhusu

Najua matapeli Wengi mnoo wame ku PM baada ya matokeo ushkaji unaisha

Find alternatives utatue tatizo
Kweli ikibidi hata kuuza baadhi ya vitu vyake ili alipe hyo kodi lakini kwa betting atapata maumivu zaidi
 
Shida ni kampuni ni matapeli sio Vodacom haiwezekani Kila siku mnatujazia page kisa hayo makampuni wewe endelea kutetea ugali si tunajua nyie ni wazee wa mgao Kila mwezi kwenye makampuni ya mrusi
Tajiri tajiri tajiri tupe code na sisi tutusue
 
Back
Top Bottom