SPORTBETY SPORTBETY SPORTBETY
ODDS: 39
CODE:- 16F2BD
Nickname:- DIDAH MCHOPS
View attachment 3115982
Mechi zimekaa kimtego sana leoNaona leo wadau wapo kinyonge sana inaonekana siku ya leo ni siku ya maumivu ....hii kazi ni ngumu sana!
Usithubutu kuweka mkuuWale wadau wa 1X naona tigo na airtel wamerudisha.
Wale wadau wa 1X naona tigo na airtel wamerudisha.
Usithubutu kuweka mkuu
Hakuna njia ya kutolea
Usithubutu kuweka mkuu
Hakuna njia ya kutolea
tafute watoto wadogo kule fb ila aio hapa , mzee baba njaa zako zikomee hukoUmepotea njia, kauze FB huku watu wana akili timamu.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Kwenye withdraw hawajaweka hizo njiaKwanini haitoki Kiongozi?
Kwa nini msitumie helabet ni kama 1x bet kila kitu?Kwenye withdraw hawajaweka hizo njia
Yaani kuna njia ya kuweka tu kutoa hakuna
Na sheria yao ni kwamba njia utakayo weka ndio utakayotelea
Mkuu kampuni zote za Mrusi(jamii ya 1xbet) huwa ni kichefu chefu sana kwenye kuweka na kutoaKwa nini msitumie helabet ni kama 1x bet kila kitu?
Anaondoka na pesa yanguDortmund anapelekewa pumzi ya moto
Over 2.5 inatoa si muda hapa 💪🏽
Duuuh!!! Ni kuachana nao tu mkuu...Mkuu kampuni zote za Mrusi(jamii ya 1xbet) huwa ni kichefu chefu sana kwenye kuweka na kutoa
Hao Helabet ndio hilo hilo kundi mmoja
Mayowe gani?MUDA WA MAYOWE UMEWADIA