Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Aya sasa mechi za mchana siku hii ya kilio(jmos) zinakaribia kuanza, ngoja niturn notification on
 
Kwenye withdraw hawajaweka hizo njia

Yaani kuna njia ya kuweka tu kutoa hakuna

Na sheria yao ni kwamba njia utakayo weka ndio utakayotelea
Kwa nini msitumie helabet ni kama 1x bet kila kitu?
 
Kwa nini msitumie helabet ni kama 1x bet kila kitu?
Mkuu kampuni zote za Mrusi(jamii ya 1xbet) huwa ni kichefu chefu sana kwenye kuweka na kutoa

Hao Helabet ndio hilo hilo kundi mmoja
 
Dortmund anapelekewa pumzi ya moto

Over 2.5 inatoa si muda hapa 💪🏽
 
Huyu refa aliechezesha mechi ya Yanga v JKT Queens mshenzi kishenzi anapenda Yanga ifungwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…