lestone
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 290
- 527
daah ahsee Refa kabet nnWalipata mawili moja lilikataliwa na lingine ni missed penalty.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daah ahsee Refa kabet nnWalipata mawili moja lilikataliwa na lingine ni missed penalty.
Refa kabeti wapi sasa, si walikosa wnyw penatidaah ahsee Refa kabet nn
Itakuwadaah ahsee Refa kabet nn
Zenit msenge kaondoka na elfu 7 yanguNamna Gani pale Zenit
GenkBayern Leverkusen
Dortmund
Arsenal
😭😭😭😭
zikimbie timu za ugiriki,Genk
Aek Athens
Ila kuna muda unaona uache kubeti tu,,,, umpe ushindi kanji
Siku imekuwa mbaya Newcastle na everton kushindwa kutoa magoli imenikosesha pesaMhindi leo anabahati sana, amshukuru sana new castle, ningemuumiza vibaya sana
PSV Bonge moja la timu.PSV kala umeme
Wewe umeshinda alafu unaomba hela huoni aibuAGAIN AGAIN AGAIN. Mkeka wa piliiiiiii.
BOOOOOMMMMMMM 🏅
ODDS : 4.63
BOOOOOMMMMMMM 🏅🏅
ODDS :- 4.63 💥
Aliesafiri nami,hope kesho umeamka vizuri
Tukumbukane kwa MB za feasibility study Halopesa 0629526494
Kesho nakuja Tena kuangalia upepo kwa mikeka 3 na SGR moja
Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaomba motivation, mumlipe kwa kazi aliyofanya. Hii style ipo sana kwa wapopo X kule akiweka mkeka ukatick anaweka account mumpe mlichoshinda.Wewe umeshinda alafu unaomba hela huoni aibu
Kwani wakati anaweka mirka alitumwa, kibaya zaidi yeye hakuweka kama alieeks anaomba hela ya nini?Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaomba motivation, mumlipe kwa kazi aliyofanya. Hii style ipo sana kwa wapopo X kule akiweka mkeka ukatick anaweka account mumpe mlichoshinda.
Halafu mbaya zaidi wanakuwa hawana shukrani mfano mtu kashinda 10M akampa laki moja analalamika kapewa chache.
Mpopo anataka nusu Kwa nusu 😂😂Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaomba motivation, mumlipe kwa kazi aliyofanya. Hii style ipo sana kwa wapopo X kule akiweka mkeka ukatick anaweka account mumpe mlichoshinda.
Halafu mbaya zaidi wanakuwa hawana shukrani mfano mtu kashinda 10M akampa laki moja analalamika kapewa chache.