Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Lille👏
Nilikupa draw or Win 👏👏👏

Bado Mechi 3 ktk mikeka miwili niliopost itick,mliofuata pray to grab kanji🤲🤲🤲

Mkeka wa
ODDS: 4.63
Na wa
ODDS:- 13.42

Tukutane Saa Sita na Nusu kwa Asante
 
AGAIN AGAIN AGAIN. Mkeka wa piliiiiiii.
BOOOOOMMMMMMM 🏅

ODDS : 4.63

BOOOOOMMMMMMM 🏅🏅
ODDS :- 4.63 💥

Aliesafiri nami,hope kesho umeamka vizuri

Tukumbukane kwa MB za feasibility study Halopesa 0629526494

Kesho nakuja Tena kuangalia upepo kwa mikeka 3 na SGR moja
Wewe umeshinda alafu unaomba hela huoni aibu
 
Wewe umeshinda alafu unaomba hela huoni aibu
Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaomba motivation, mumlipe kwa kazi aliyofanya. Hii style ipo sana kwa wapopo X kule akiweka mkeka ukatick anaweka account mumpe mlichoshinda.
Halafu mbaya zaidi wanakuwa hawana shukrani mfano mtu kashinda 10M akampa laki moja analalamika kapewa chache.
 
Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaomba motivation, mumlipe kwa kazi aliyofanya. Hii style ipo sana kwa wapopo X kule akiweka mkeka ukatick anaweka account mumpe mlichoshinda.
Halafu mbaya zaidi wanakuwa hawana shukrani mfano mtu kashinda 10M akampa laki moja analalamika kapewa chache.
Kwani wakati anaweka mirka alitumwa, kibaya zaidi yeye hakuweka kama alieeks anaomba hela ya nini?


Je inge loose?!, mtu bila aibu anaweka namba yake adharani atumiwe posho ya kubeti.


Wenzie waliweka buku buku wakitoa maksto ni elfu tatu sa itakuwaje
 
Dah 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaomba motivation, mumlipe kwa kazi aliyofanya. Hii style ipo sana kwa wapopo X kule akiweka mkeka ukatick anaweka account mumpe mlichoshinda.
Halafu mbaya zaidi wanakuwa hawana shukrani mfano mtu kashinda 10M akampa laki moja analalamika kapewa chache.
Mpopo anataka nusu Kwa nusu 😂😂
 
Back
Top Bottom