Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hela naona ipo.
Na hii weekend hela ipo . Tushindwe sisi
Sure

Kwangu imeanza vizurii

CASHOUT button mkononi bado itatoa vizuri,but hopefully it gonna💥💥

Screenshot_20241018-192941.png
 
Mkuu hio gemu ya zenit miliweka ashinde naenda kwenye mkeka naoma wameniandikia lost kuvheki genu iliosababosha lost naona wameweka zenit kadraw 0 kwa 0 ilihali kashinda 5 ,shida inaweza kuwa nn na suluhi
 

Attachments

  • Screenshot_20241018-210514.png
    Screenshot_20241018-210514.png
    142.1 KB · Views: 4
Mkuu hio gemu ya zenit miliweka ashinde naenda kwenye mkeka naoma wameniandikia lost kuvheki genu iliosababosha lost naona wameweka zenit kadraw 0 kwa 0 ilihali kashinda 5 ,shida inaweza kuwa nn na suluhi
We umebeti zenit ya watoto zenit yenyewe ya wakubwa ilikuwa inacheza na akron toggliat kifupi umechanganya madesa
 
Mkuu hio gemu ya zenit miliweka ashinde naenda kwenye mkeka naoma wameniandikia lost kuvheki genu iliosababosha lost naona wameweka zenit kadraw 0 kwa 0 ilihali kashinda 5 ,shida inaweza kuwa nn na suluhi
Wata irekebisha

Huwa inatokea, system interruptions tu hiyo mkuuu
We relax imetoa hiyo
 
Mkuu siyo Promo, wewe Ukijisajili Utapewa Bonus Ya Mwisho Laki Tatu. Ukiweka 100000, utaongezewa 100000 nyingine. Ukiweka 150000 utaongezewa 150000 nyingine
Mkuu hivi huwa unapata faida gani kuwaingiza watu mkenge na hizi kampuni za kitapeli unazozipigia promo hapa jukwaani?
Binafsi huwa naumia sana ninapo ona unawatumia wakamaria ambao wapo desperate na vipigo halafu unawashawishi waje kuibiwa tena na hizi kampuni uchwara ambazo hata ukidhulumiwa huna pa kwenda kudai haki yako

Ulianza na 888starz ikasepa na hela za watu
Sasa hivi umekomaa na Paripesa na wakati mwingine Helabet wakati unajua fika kabisa ni wasumbufu kuweka na kutoa

Niliweka 30k Paripesa kwa Halopesa nikabet ikafika hadi 270k, nikitaka kuwithdraw mara nakuta option ya Halopesa haipo na ikiwepo transaction inakua rejected by operator..............HUU NI UTAPELI WA KISÈNGE SANA

Hebu tuambie mwenzetu unatumia njia zipi kufanya transactions zako na ikiwezekana tuwekee hapa transactions history yako tuamini kweli na sio unatupanga tu maana siku hizi watu wana hadi demo account kuwajaza watu king
 
Mkuu hivi huwa unapata faida gani kuwaingiza watu mkenge na hizi kampuni za kitapeli unazozipigia promo hapa jukwaani?
Binafsi huwa naumia sana ninapo ona unawatumia wakamaria ambao wapo desperate na vipigo halafu unawashawishi waje kuibiwa tena na hizi kampuni uchwara ambazo hata ukidhulumiwa huna pa kwenda kudai haki yako

Ulianza na 888starz ikasepa na hela za watu
Sasa hivi umekomaa na Paripesa na wakati mwingine Helabet wakati unajua fika kabisa ni wasumbufu kuweka na kutoa

Niliweka 30k Paripesa kwa Halopesa nikabet ikafika hadi 270k, nikitaka kuwithdraw mara nakuta option ya Halopesa haipo na ikiwepo transaction inakua rejected by operator..............HUU NI UTAPELI WA KISÈNGE SANA

Hebu tuambie mwenzetu unatumia njia zipi kufanya transactions zako na ikiwezekana tuwekee hapa transactions history yako tuamini kweli na sio unatupanga tu maana siku hizi watu wana hadi demo account kuwajaza watu king
Mkuu unaposema hizi kampuni ni za kitapeli unakosea sana. Ina maana unataka useme PARIPESA wanatapeli Afrika nzima ambako kampuni ipo kama ilivyo 1xbet? Kwa sababu PARIPESA haipo tu Tanzania tu ipo Africa nzima. Shida huwa ni wakala wa Tanzania waliyeingia naye mkataba wa kuweka na kutoa hela. Pia mimi na Deposit kwa mitandao ya simu mara nyingi natumia Airtel, pia natumia sarafu ya mtandao nk.
Hivyo shida ni wakala.

Wewe ushawahi ona mfano wa Nigeria wanalalamika juu ya kuweka na kutoa hela kwenye kampuni za mrusi? Pia wenzetu Nchi yao imeendelea wanafanya malipo kwa kutumia bank transfer.
 
Ligi ndio zinarudi kesho
Ni mwendo wa kugongeshwa
Ukioata Toa Ukiliwa Tulia
1XB_104608.png


JINSI YA KUJISAJILI 1XBET KAMPUNI NAMBA MOJA DUNIANI NA KUPATA BONUS

1.Tembelea official Website ya 1xbet kupitia link hii


2.Nenda kwenye Button ya kijani juu kushoto imeandikwa "Register"

3.Chagua Njia ya Kujisajili kama In-one click,By phone,By Email,By Social Media kisha jaza taarifa zako

4.Kisha jaza Promo code weka neno "Zawadi" ili kupata Bonus yako ya kwanza..

5.Baada ya kujisajili sasa tumia Taarifa zako kulog-in na deposit kupitia Mitandao ya simu kama Airtel,Voda na Tigopesa Chap kwa haraka

6.Hakuna tena shida ya kupita kwa wakala sasa utaweza kuweka na kutoa na kutumia Maokoto yako uliyoyapata kwa jasho lako

KUMBUKA: Bet kistaarabu kwa Afya yako, Na hairuhusiwi kwa walio na Umri chini ya miaka 18, WAKASOME.


Kujiaunga na group la Afisa Ubashiri whatsApp bonyeza link

 
Back
Top Bottom