Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Port Alikuwa ana kibarua kizito sana amecheza na mtu wa nafasi ya tatu nae mkali ndo chuma hiko amekutana nacho
Hata odd zake zilipanda sana nikahisi tu hapa kuna kipigo kinakuja nikamuacha nikavamia mtumbwi wa vibwengo japani huko
 
Nilikuw natest mitambo
Screenshot_20241018-175955_MelBet.jpg
 
Mkuu shida haipo PariPesa, shida ipo kwenye mtandao wa Vodacom. Mbona kuna watu wengi tu wana Deposit mkuu. Leo hii watu wengi wamedeposit na hela imefika.
Vodacom wamenitumia sms inayoo onyesha hela imetumwa kwa Paripesa Inamaana nikituma hela kwenda Paripesa tu ndio kuwe na shida nikituma kwenda kampuni tofauti na Paripesa haijawahi kusumbua yamesha pita masaa 48 bado kimya.
 
Vodacom wamenitumia sms inayoo onyesha hela imetumwa kwa Paripesa Inamaana nikituma hela kwenda Paripesa tu ndio kuwe na shida nikituma kwenda kampuni tofauti na Paripesa haijawahi kusumbua yamesha pita masaa 48 bado kimya.
Umewacheki support team yao???
 
Nimefanya deposit mara mbili leo ikiwa ni mara ya kwanza kabisa Paripesa na sijapata changamoto yoyote (tigo)

Lakini juu kabisa kwenye upande wa deposit nmeona wameweka maelezo ya nini cha kufanya ukipata changamoto ya muamala
 
Wana hiyo changamoto ila pesa wataweka........Na inategemea siku maana kuna siku unaweka na inakubali chap tuu
Yamepita masaa 48 bado salio zero, changamoto ya kuchelewesha ndio hio inafanya waonekane matapeli tofauti na kampuni nyinginezo.
 
Nimefanya deposit mara mbili leo ikiwa ni mara ya kwanza kabisa Paripesa na sijapata changamoto yoyote (tigo)

Lakini juu kabisa kwenye upande wa deposit nmeona wameweka maelezo ya nini cha kufanya ukipata changamoto ya muamala
Bado sijawacheki mkuu
 
Back
Top Bottom