Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Wangezingua wangekua wajinga sana., maana anaeongoza ligi kapigwa halafu walikua wanatofautiana point 1 moja tu pale juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangezingua wangekua wajinga sana., maana anaeongoza ligi kapigwa halafu walikua wanatofautiana point 1 moja tu pale juu
Port Alikuwa ana kibarua kizito sana amecheza na mtu wa nafasi ya tatu nae mkali ndo chuma hiko amekutana nachoWangezingua wangekua wajinga sana., maana anaeongoza ligi kapigwa halafu walikua wanatofautiana point 1 moja tu pale juu
Hata odd zake zilipanda sana nikahisi tu hapa kuna kipigo kinakuja nikamuacha nikavamia mtumbwi wa vibwengo japani hukoPort Alikuwa ana kibarua kizito sana amecheza na mtu wa nafasi ya tatu nae mkali ndo chuma hiko amekutana nacho
Hivi ni nani anaongoza ligi Japan, nilishaacha kufatilia hiyo ligi ,Hata odd zake zilipanda sana nikahisi tu hapa kuna kipigo kinakuja nikamuacha nikavamia mtumbwi wa vibwengo japani huko
Yani toka hii season ianze sijawai betia timu ya Japan wala China kilichonipitisha huko leo sijui ni nini itakua majini ya kanji yamenipelekaHivi ni nani anaongoza ligi Japan, nilishaacha kufatilia hiyo ligi ,
Leo cup zipo Portugal kule wakina Sporting Cp, benfica, braga Wana jambo lao hukoHizi team ndogo ndogo Sio za kujiaminisha sana.
Leo cup zipo Portugal kule wakina Sporting Cp, benfica, braga Wana jambo lao huko
Basi code zikujeLeo cup zipo Portugal kule wakina Sporting Cp, benfica, braga Wana jambo lao huko
Vodacom wamenitumia sms inayoo onyesha hela imetumwa kwa Paripesa Inamaana nikituma hela kwenda Paripesa tu ndio kuwe na shida nikituma kwenda kampuni tofauti na Paripesa haijawahi kusumbua yamesha pita masaa 48 bado kimya.Mkuu shida haipo PariPesa, shida ipo kwenye mtandao wa Vodacom. Mbona kuna watu wengi tu wana Deposit mkuu. Leo hii watu wengi wamedeposit na hela imefika.
Umewacheki support team yao???Vodacom wamenitumia sms inayoo onyesha hela imetumwa kwa Paripesa Inamaana nikituma hela kwenda Paripesa tu ndio kuwe na shida nikituma kwenda kampuni tofauti na Paripesa haijawahi kusumbua yamesha pita masaa 48 bado kimya.
Yamepita masaa 48 bado salio zero, changamoto ya kuchelewesha ndio hio inafanya waonekane matapeli tofauti na kampuni nyinginezo.Wana hiyo changamoto ila pesa wataweka........Na inategemea siku maana kuna siku unaweka na inakubali chap tuu
Bado sijawacheki mkuuNimefanya deposit mara mbili leo ikiwa ni mara ya kwanza kabisa Paripesa na sijapata changamoto yoyote (tigo)
Lakini juu kabisa kwenye upande wa deposit nmeona wameweka maelezo ya nini cha kufanya ukipata changamoto ya muamala
Jaribu kuwasiliana nao mkuu ikishindikana kwa leo najua una company ya backup kama 1xbet unaweza kiendeleza harakati huku unawaskiliziaBado sijawacheki mkuu
Ok ngoja niwachekiJaribu kuwasiliana nao mkuu ikishindikana kwa leo najua una company ya backup kama 1xbet unaweza kiendeleza harakati huku unawaskilizia
PoaNaomba mkeka wa mechi za kesho wakuu