Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Acha wivu mtoto wa kiume kama unaona Ser anafaidi tafuta kampuni na wewe uwe dalali

1xbet pia ina mawakala na wapambe wengi ila hiyo haizuii changamoto za kimtandao kutokea.

Kingine anatumia bando/simu/pc na muda wake hivyo usimpangie mtu cha kufanya waka kuandika.
Wewe ni Mke wake naona unamtetea sana dudu limeshakukolea mumeo anafanya ujinga kuingiza Chaka wakamaria wewe unavaa kanga Yako Moja unakuja kumtetea Sasa tumemstukia
 
Acha wivu mtoto wa kiume kama unaona Ser anafaidi tafuta kampuni na wewe uwe dalali

1xbet pia ina mawakala na wapambe wengi ila hiyo haizuii changamoto za kimtandao kutokea.

Kingine anatumia bando/simu/pc na muda wake hivyo usimpangie mtu cha kufanya waka kuandika.


Shida sio wivu , kuna malalamiko mengi alafu jamaa anawatetea sana hao paripesa.

Kifupi Peripesa wanabebwa alafu hawabebeki
🤣
 
Sawa ila kumbuka huwezi kupata million kwa jero

Tafuta mtaji,tumia muda kuchambua games,tafuta kampuni inayokufaa,tumia simu yenye uwezo mzuri wa internet alafu fanya Ubashiri.
Jero kwa milioni mbona pesa ndogo sana hiyo watu tuna mpango wa kula 20 milioni kwa tsh 50 taslimu pesa halali ya tanzania 😕😕
 
Screenshot_20241018-131242_MelBet.jpg
 
Mkuu siyo Promo, wewe Ukijisajili Utapewa Bonus Ya Mwisho Laki Tatu. Ukiweka 100000, utaongezewa 100000 nyingine. Ukiweka 150000 utaongezewa 150000 nyingine
Nimejisajili Paripesa usajili umekamilika nime deposit hela na Naangalia kwenye account hakuna kitu wakati m pesa wamenirudishia sms inayo thibitisha hela imetumwa hawa ni matapeli.
 
Nimejisajili Paripesa usajili umekamilika nime deposit hela na Naangalia kwenye account hakuna kitu wakati m pesa wamenirudishia sms inayo thibitisha hela imetumwa hawa ni matapeli.
Mkuu shida haipo PariPesa, shida ipo kwenye mtandao wa Vodacom. Mbona kuna watu wengi tu wana Deposit mkuu. Leo hii watu wengi wamedeposit na hela imefika.
 
Nimejisajili Paripesa usajili umekamilika nime deposit hela na Naangalia kwenye account hakuna kitu wakati m pesa wamenirudishia sms inayo thibitisha hela imetumwa hawa ni matapeli.

Wana hiyo changamoto ila pesa wataweka........Na inategemea siku maana kuna siku unaweka na inakubali chap tuu
 
Back
Top Bottom