Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Madrid Jana kidogo atulaze na moka
 
Nenda Google chrome kama unayo andika bikosports harafu ingia kwenye account yako,
 
Nenda Google chrome kama unayo andika bikosports harafu ingia kwenye account yako,
haya mambo ya kutumiwa link na mtu kisha unaruka nayo pasipo kujiridhisha kama ni official website yatawatokea puani alafu mje kulaumu kampuni zimewatapeli kumbe umejiingiza kwenye mfumo wa IT wahuni kwa kubofya link uliyotumiwa.!
 
siku zote ni mtu wa kuliwa tyuu..
jaman muhindi nihurumie..
nisaidieni code za leo waungwana nimechoka ku lose
 
haya mambo ya kutumiwa link na mtu kisha unaruka nayo pasipo kujiridhisha kama ni official website yatawatokea puani alafu mje kulaumu kampuni zimewatapeli kumbe umejiingiza kwenye mfumo wa IT wahuni kwa kubofya link uliyotumiwa.!
Bikosports ipo na inafanya waulize watu, sijajua yeye katumiwa link kupitia wapi na nani!? Nimeacha zamani kuitumia nilikula mara Moja tu huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…