Madrid Jana kidogo atulaze na mokaKaribuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k
GG (maana yake tim zote zifungane).. GGGG ( tim zote zifungane kila kipindi)
2+ (katika mechi yote yapatikane magoli kuanzia mawili)...
I 2+ (kipindi cha kwanza yapatikane magoli kuanzia mawli)...
II2+ (kipindi cha pili yapatikane magoli kuanzia mawili)....
H2+ (tim ya nyumbani ipate magoli kuanzia mawili)...
A2+ (timu ya ugenini ipate magoli kuanzia mawili)...
Wakuu jana nlikuwa na mikeka miwili.Hatimae wameweka
Hongera 🙏Wakuu jana nlikuwa na mikeka miwili.
Yote imetiki.
Mmoja ni huu wa muhindi
Wapili shem wenu alikuwa labor, kanizawadia Babyboy
AlhamdulilahView attachment 3133191
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wakuu jana nlikuwa na mikeka miwili.
Yote imetiki.
Mmoja ni huu wa muhindi
Wapili shem wenu alikuwa labor, kanizawadia Babyboy
AlhamdulilahView attachment 3133191
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kongole kwako.Wakuu jana nlikuwa na mikeka miwili.
Yote imetiki.
Mmoja ni huu wa muhindi
Wapili shem wenu alikuwa labor, kanizawadia Babyboy
AlhamdulilahView attachment 3133191
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Angusha code ya leo jamaaHatimae wameweka
Nenda Google chrome kama unayo andika bikosports harafu ingia kwenye account yako,Jamani kuna mdada jana kanitumia link ya biko sport akidai wana bonasi nzuri ukiweka laki wanakuongezea mtaji wa laki inakua laki mbili
nikaweka hela laki moja kweli ikasoma laki mbili nikabet mikeka miwili cha ajabu link haifunguki mpaka sasa sijui hawa biko ni matapeli
Hongera mzeeWakuu jana nlikuwa na mikeka miwili.
Yote imetiki.
Mmoja ni huu wa muhindi
Wapili shem wenu alikuwa labor, kanizawadia Babyboy
AlhamdulilahView attachment 3133191
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
haya mambo ya kutumiwa link na mtu kisha unaruka nayo pasipo kujiridhisha kama ni official website yatawatokea puani alafu mje kulaumu kampuni zimewatapeli kumbe umejiingiza kwenye mfumo wa IT wahuni kwa kubofya link uliyotumiwa.!Nenda Google chrome kama unayo andika bikosports harafu ingia kwenye account yako,
Asante sana mkuuHongera sana Mkuu kwa Kupata mtoto.
Wakuu jana nlikuwa na mikeka miwili.
Yote imetiki.
Mmoja ni huu wa muhindi
Wapili shem wenu alikuwa labor, kanizawadia Babyboy
AlhamdulilahView attachment 3133191
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Nimuwekea 2half goal range 1-3 Alhamdulillah Stuttgart akaokoa jahazi dk za jiooniiiJuve msimu huu, haaminiki sana kwenye matokeo, hafungi kabisa
Bikosports ipo na inafanya waulize watu, sijajua yeye katumiwa link kupitia wapi na nani!? Nimeacha zamani kuitumia nilikula mara Moja tu hukohaya mambo ya kutumiwa link na mtu kisha unaruka nayo pasipo kujiridhisha kama ni official website yatawatokea puani alafu mje kulaumu kampuni zimewatapeli kumbe umejiingiza kwenye mfumo wa IT wahuni kwa kubofya link uliyotumiwa.!
Pole sanasiku zote ni mtu wa kuliwa tyuu..
jaman muhindi nihurumie..
nisaidieni code za leo waungwana nimechoka ku lose
Asante sana chiefHONGERA, hasa kwa huo mkeka wa pili.