Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jamani kwema Mimi nataka kujua naipataje hii option kwenye sportybet
Maana nimeitafuta kwenye game mbalimbali lakini nimeikosa kabisa

1X2..10 minutes 1 up to 10 minutes
Hii option nayo ni ngumu hapo utashangaa kuna timu dakika ya kwanza itapigwa goli.
 
huyu haja-edit kweli?
maana unampaje RB Salz wakati kapoteza mechi zote zilizopita, na anacheza na fayernood timu ambayo imeshinda mechi ngumu kuliko hii?
Huyu feyenoord huyu kampiga benfica 4 akiwa home alafu anapigwa kwake na Salzburg
 
alafu eti unampa Salzburg ashinde (ambae hana point hata moja kwenye game 3 alizocheza!),

anyway, Feyenoord kanifanya kitu mbaya sana jana..... bado sijaelewa amefungwaje na ile timu
Mimi kachana yeye na bayern niliweka over 1.5 katoa goli moja tuu
 
Leo najiunga na Paripesa kupitia hii code yako mkuu... Je hawazingui?? Mana mpaka sasa helabet wamepita na 20K yangu na hawataki kuirudisha
Jiunge mkuu, Deposit iko Poa tu mkuu. Nimedeposit muda si mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…