Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kuna mapengo ya rodri na de bruyne pale katinilimpa x2 nikiamini -awezi pigwa game 4 mfululizo,
next anakutana na liverpool,
city na pep wapo kwenye wakati mgumu sana
City blacklisted till further notice
Anakufa mapema sana kwa Livernilimpa x2 nikiamini -awezi pigwa game 4 mfululizo,
next anakutana na liverpool,
city na pep wapo kwenye wakati mgumu sana
Anachopitia City ni sawa na anachopitia Yanga.Ila city hakua anaeleweka alafu Brighton sio mnyonge kiivyo kumbetia city ilikua risk sana
City kazidi,yanga mbili tuAnachopitia City ni sawa na anachopitia Yanga.
Sometimes uwe unasema kweli. Huwezi kuweka hizo stake SPORTYBET sababu kule hakuna demo account.Mtandao wako ndiyo wenye shida huko uliko. Mimi natumia PariPesa Na iko fasta sana. Pia kwa njia ninayo tumia kubet mimi Sportybet haifai kwa high stake. Angalia machaguo niliyo chagua mimi, halafu Angalia kama utayaona yapo Sportybet
nilimpa x2 nikiamini -awezi pigwa game 4 mfululizo,
next anakutana na liverpool,
city na pep wapo kwenye wakati mgumu sana
Sawa mkuu.Sometimes uwe unasema kweli. Huwezi kuweka hizo stake SPORTYBET sababu kule hakuna demo account.
Kampuni za kirusi wanazingua kuwapa nyie agents wao demo account. Hiyo yako ni Demo account
Hongera mkuu. Ingawa muda bado. Anaweza kusawazisha na kufunga pia.NDIO Nalala sasa baada ya kukesha na Mechi za kumalizia za Usiku
Inter Miami alikuwa NDIO wa mwisho ila nime Cashout,maana hii match ipo live SPORTYBET ila Suarez na Messi hawana mpango sioni dalili za kurejesha,ila thanks CASHOUT ipo vizuri
Acha nipumzike, tukutane saaa 4 Asubuhi kwa mkeka wa kufungua wiki
Mkuu tutaingizwa sana mkenge na huyo wakala wa Paripesa anaye wahadaa hapa jukwaani kwa Demo acc anastake malaki kwa mamilioniHaya ndo majibu ya Paripesa kuhusu pesa yamgu iliyozama kwa siku 17 leo.
Habari. Kwa bahati mbaya, bado hatujapokea jibu kutoka kwa mfumo wa malipo. Tunawakumbusha kila mara juu ya shida. Tutakujulisha mara tu tutakapopokea taarifa yoyote.
Mkuu nilikua sijalijua hiliSometimes uwe unasema kweli. Huwezi kuweka hizo stake SPORTYBET sababu kule hakuna demo account.
Kampuni za kirusi wanazingua kuwapa nyie agents wao demo account. Hiyo yako ni Demo account
Sijui wanafataga nini huko wakati kuna kampuni game ikiisha tu unatoa chako bila usumbufu,Naona watu mnahangaika sana na izo Kampuni za Kubeti as if hamuioni au hamuijui SPORTY BET, Mtalizwa mpaka mnyooke.!!
wengi wanakimbilia deposit bonus na free bets, anywaySijui wanafataga nini huko wakati kuna kampuni game ikiisha tu unatoa chako bila usumbufu,
mara hela unadeposit haifiki mara unawithdraw haifiki kwa account na ni kesi za kila siku wakati anaeipigia promo hujawai msikia yeye amepata shida yoyote ya kudeposit wala kuwithdraw
Kuna jamaa kule Twitter nao wanapromote helabet wameshtukiwa kuwa wanatumia demo account,
Helabet na 1xbet kwasasa wamesajilowa bongo na wanalipa kodi na wana ofisi kwasasa.Mkuu nilikua sijalijua hili
Huyu huyu mbiga akanijaza king nikafungua acc Paripesa nikadeposit 70k
Ilichukua wiki 3 hela kufika kwenye acc
Nikacheza ikafika 370k, nilipotaka kutoa nikakuta njia ya Halotel niliyowekea hela haipo na masharti yao eti ni lazima utoe kwa njia uliyowekea tu
Nimevurugana nao mwezi mzima sijapata hata sh1
Nikataka kuwashitaki bodi ya kamari nikaambiwa hao ni wahuni hawana kibali na bodi haiwezi ku control kila kitu kwenye internet
Nikashauriwa kuwa makini na matapeli