Rejected by operatorMimi ninachojua ukiweka pesa au ukitoa, angalia kwenye akaunti yako sehemu ya profile(kwenye kale kakichwa)
Hapo utakutana na jumbe zote, tangu umeanza kufanya transactions paripesa...
Hivyo kama pesa yako imekwama kwasababu yoyote, utakuta maelezo ya sababu ya kukwama huko.
Hiyo sababu ndio ita solve tatizo langu mkuu?