nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Ok hapo nimekuelewa..Mkuu nilideposit kwa kubofya kwenye app yao nikafanya malipo
Tukasumbuana nao wiki nzima ndio hela ikaingia kwenye acc
Baada ya kula sasa nataka kutoa hela
Ndio hapo nakutana na REJECTED BY OPERATOR
Yaani mimi nianze kuwapigia Halopesa kwamba kwanini Paripesa wana reject kunilipa?
We unaona hii imekaa sawa mkuu?
Mwanzo nilijua imegoma kwenye kuweka...
Kama ulitoa na wakakujibu hivyo basi una haki ya kulalamika maana ni wazi pesa iko kwao...
Hapo cha kufanya usichoke kuwasumbua, utaipata pesa yako...