Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu una ujasiri,Nimemfuata Aseno mazima
Instinct zangu zinaniaminisha game kama hizi Arsenal huwa wanafanyaga maajabu
Ukiona hivyo ujue wamepigwa sana kwa hiyo option.toka juzi cjabet 1xbet kalimit kustake 2800 kwa option zangu za under nikajiunga paripesa nimekuta ni kile kile sion ht raha ya kubet live
Watakuwa wamepigwa sana kwa hiyo option.Mkuu yaani we acha tu
Nilidhani nateseka peke yangu kwenye live
Hii ni kwa kampuni zote zinazotumia template ya 1xbet
Sasa wamepiga pini 28,700 tu ðŸ˜
Check na huyo Whatsapp ni wakala 1Xbet. Yupo makini sana.Wakuu kudeposit na kuwithdraw 1xbet inakuaje
🤣🤣🤣🤣🤣Hivi hii timu ya Tottenham ishawahi kubeba kombe lolote katika historia yake maana sielewi ukubwa wanaopewa maana katika kumbukumbu zangu hii timu sijawahi ishuhudia ikibeba kombe
Ujasiri huu unatoa wapi mkuu
Mkuu nimempa man u vs mwenzie kona 9 kashjndwa toa nimemfata spurs mazima wamefungwacurrently game za man u imekua ngumu sana kutoa kona over 8.5,
.......
anyway, spurs na utd wamemaliza shughuli,
ngoja nisubiri hii single niliompa chelsea mazima.........
leo siku imekua mbaya sana
Ujerumani siyo wa kuzuia magoliFrankfurt anauwa mtu hukooooo
Waliozuia magoli 3 aiseee Janga limewakuta
Ya mchongo hayo enzi za uwanja kama mashamba ya mpunga waliyapata ki mbelekohm hii timu naona hata haijui nini unatafuta kwenye ligi inazoshiriki
UnluckyHivi wakuu kati ya
Chelsea win or draw 1.6
Na
Arsenal Win 2.4
Ipi ina MATUMAINI ya kutoa kwa 100k?
hatari mkuu,Unlucky