Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nacheza single tu kwenye bet ya kimkakati mkuuMechi zingine huzioni?
Cheza corner over 10.5
Leo ni siku ya mhindi kulia na kusaga meno
-barca
-celtic
-feyenoord
-fiorentina
-man u
-atalanta
-rangers
-shakter donesk
-spurs
5F1045 | Sporty BetHuwa nacheza single tu kwenye bet ya kimkakati mkuu
Game gani unapendekeza maana hii nayo ni game tu kama zingine
Na siku ukimuua tu ana shinda 😂Huyu Atalanta kila nikimbetia huwa anachana, wacha tuone
Hatari sana, na kila mkeka yupo japo nilimwekea option nyepesi sana ya kushinda kipindi chochote tuNa siku ukimuua tu ana shinda 😂
🤣🤣🤣🤣🤣Mechi ya feyenoord imagine umecheza 10 min draw ndani ya dakika 10 zimepigwa goli tatu tayari
100%.For sure.
But All in all , winning any betting slip is uncertainty .
Even if you reduced the odds and bet with 2 odds,. Its not guarantee 100% winning.
As said above, most bettor put small amount (what they afford to lose) and add more risk .
Even though the chances of winning is small.
It’s better that way.
Line uliyotumia kuweka pesa ndio wanajua pesa yako ilikoU
Mkuu are serious?
Nimedeposit kupitia Paripesa halafu nianze kumtafuta nani?
Mi sija deposit kutafutana na operator, nimedeposit ilini BET na nikishinda nilipwe hela yangu...... PERIOD
Huu ujinga huukuti kwenye makampuni makini
Kama kuna shinda wanakwambia Kuna changamoto na wanafix wenyewe
Wewe mweyewe hapo ulipo ukikopa hulipiNahitaji mkopo wa 50k wakamaria wenzangu.
Ana on target 1 mwenzie anazo 4 kutoboa labda abadili mfumo otherwise atachapwa leoHatari sana, na kila mkeka yupo japo nilimwekea option nyepesi sana ya kushinda kipindi chochote tu
Akichapwa sitoshangaa maana anajua nmembetiaAna on target 1 mwenzie anazo 4 kutoboa labda abadili mfumo otherwise atachapwa leo
Risk ni ndogo mnoo... percentage of winning ni 99.9Odds 2 kwa mechi 12 mzee!!?? Risk ni kubwa mno.
Mkuu nilideposit kwa kubofya kwenye app yao nikafanya malipoLine uliyotumia kuweka pesa ndio wanajua pesa yako iliko
Halafu Hujadepost kupitia paripesa bali kwenda paripesa
Hiyo line umetumia kuweka ndio operator, wapigie watakwambia pesa ilipo...
Kaka naona umeamua kunisemea.Wewe mweyewe hapo ulipo ukikopa hulipi
Unahamisha madeni tu
Kampuni zote za Sim zinakopesha,sasa kwanini usikope ktk line Yako,jibu ni kwamba huko kwenyewe unadaiwa.🤣🤣🤣
Mdau don't reach to that moment kwa ajili ya KAMARI,Mechi zipo,fanyakazi ingiza pesa then tumia utakavyo ila sio ukope kisa leo unaona utajiri nje nje 🤣🤣🤣🤣NDIO Kamari ilivyo
Kashatekenywa kimoja huko tayariAkichapwa sitoshangaa maana nmembetia
2nd half inatakiwa ashinde kwa namna yoyote ileKashatekenywa kimoja huko tayari