Sawa mkuu nitafanya hivyo, huwa naweka timu kumi na huwa zinakuwa na odds 100 mpaka 200 kulingana na siku,Mkuu uwe unaugawe huo mkeka utoe mikeka miwili.
Hapo ikichana game mmoja lazima mkeka mmoja utatoa
Uwe unauweka humu tu editKuna sehemu nachukua odds 100 mpaka 200 kila siku na inachana timu moja au mbili kati ya timu kumi.
Hivi natatuaje hili gundu wakuu, au nikaoge baharini nisafishe nyota
Mkuu usi tufanye watu wote humu ndani ni makondooPia nimegundua humu ndani kuna wivu wa watu walioajiriwa kutoka kwenye kampuni ambazo siyo za mrusi. Kuna watu nawafahamu wamo humu kwenye uzi huu wanafanya kazi Sportybet, Sportpesa, hao ndiyo watu ambao wanadis sana mimi kupost mikeka kwa kampuni ya mrusi. Wana dis kwa sababu wao wameajiriwa na hizo kampuni, mimi sijaariwa na hao warusi, kwanza mimi natumia kampuni zote za mrusi. Naweza post 1xbet, Betwinner, 888STARZ Helabet nk. Kwa hiyo dis nyingi za demo account zinatoka kwa wafanyakazi wa Sportybet, Sportpesa, betpawa nk.
Mkuu uzuri ni kwamba hiyo mikeka unayosema huwa inachana huwa inapostiwa kabla. Hata mimi huwa Napost Booking Code na ikichana huwezi kuta nimesema boom, ila ikiboom nasema boom kwa sababu najua siwezi kuedit Mkeka ambao Niliupost hadharani. Siwezi kuedit kwa sababu kuna watu wengi walifuata. Mkuu kuhusu tatizo la ku withdraw mimi sikumbani nalo kwa sababu mimi natumia crypto Kudeposit na kuwithdraw pesa. Kwa hiyo kama unataka kuondokana na adha ya ku withdraw nashauri uwe unatumia crypto.Mkuu usi tufanye watu wote humu ndani ni makondoo
Wewe unadai hakuna mtu anakujua humu ndani ila wewe ndio unawajua wafanyakazi wote wa makampuni mengine humu ndani?...... idiot
Kuna msemo unasema ukitaka kupiga hela kwenye betting basi deal na wakamalia na sio kudeal na kubet direct
Ni ama uuze odd au uwe agent
Wewe unalipwa kwa promo code
Kila mkamalia mpya akijiunga na kudeposit unapata chako..... biashara ya shida ya kuweka na kutoa haikuhusu, wewe unakua umepata chako tayari
Toka nimewajua wanaijeria huko Twitter sijawahi kula mkeka wao hata mmoja na kila siku nilikua nawafuata
Tofauti yenu ni kwamba wapo wanao tumia demo na wapo wanao edit mikeka pia
Hawa wanaijeria watu wenye akili zao wamekwisha washtukia kitambo sana, uliza kama kuna mtu hapa ndani kawahi kuwafuata akapiga maodd mlima wanayoweka
Hakuna bingwa wa bahati duniani
Usitake kuwajaza watu ujinga kwa mfano wa matapeli wa kinaijeria hawana tofauti na wewe
Wajinga wajinga huwa hawakosekani mkuu, hata mimi nimewahi kuwa mjinga nikadeposit Paripesa lakini nimetoa hela yangu hadi leo sijaipata lakini utaishia kuniita mfanyakazi wa Betipawa au sportpesaπ
Endela na βkaziβ lakini sisi kama wakamalia hatuta acha kusanuana ukweli kuhusu uhuni wa hizi kampuni, ambaye hataelewa basi hiyo itakua ni faida kwako
ndugu share hapa ndugu sisi sote familiaSawa mkuu nitafanya hivyo, huwa naweka timu kumi na huwa zinakuwa na odds 100 mpaka 200 kulingana na siku,
Naweka 10,000 naifukuzia milioni+, ila siku zote inazingua mechi moja au mbili.
Kuna sehemu nachukua odds 100 mpaka 200 kila siku na inachana timu moja au mbili kati ya timu kumi.
Hivi natatuaje hili gundu wakuu, au nikaoge baharini nisafishe nyota
wameanza na usenge na wenyewe kama wa kina paripesaLEONBET hawa naulizia vipi hawa hawasumbui ku kutoa pesa uki win nataka nijilipua huko ,kwaanae tumia mda mrefu atupe mrejesho
Gawa mikeka mitatu weka nyumba, mke na watoto. Manake hapo itatiki miwili.Kuna sehemu nachukua odds 100 mpaka 200 kila siku na inachana timu moja au mbili kati ya timu kumi.
Hivi natatuaje hili gundu wakuu, au nikaoge baharini nisafishe nyota
Ukiwa muongo muongo jitahidi uwe na kumbukumbuMkuu uzuri ni kwamba hiyo mikeka unayosema huwa inachana huwa inapostiwa kabla. Hata mimi huwa Napost Booking Code na ikichana huwezi kuta nimesema boom, ila ikiboom nasema boom kwa sababu najua siwezi kuedit Mkeka ambao Niliupost hadharani. Siwezi kuedit kwa sababu kuna watu wengi walifuata. Mkuu kuhusu tatizo la ku withdraw mimi sikumbani nalo kwa sababu mimi natumia crypto Kudeposit na kuwithdraw pesa. Kwa hiyo kama unataka kuondokana na adha ya ku withdraw nashauri uwe unatumia crypto.
Flex game 1 weka mzigo ukimtumia sportbeti, ila usije kuwa unatuokota tushajuaKuna sehemu nachukua odds 100 mpaka 200 kila siku na inachana timu moja au mbili kati ya timu kumi.
Hivi natatuaje hili gundu wakuu, au nikaoge baharini nisafishe nyota
Kwani mkuu nimekwambia nauza mkeka ili uje nikuokote? Mimi nimeomba tu ushauri, huwa nachukua gemu kumi naweka over 2.5 na zinaleta odds 100 mpaka 200, inachana gemu moja au mbili.Flex game 1 weka mzigo ukimtumia sportbeti, ila usije kuwa unatuokota tushajua
Hapana kaka amejaribu tu kutolea mfano maana pia umu ndani kuna madalali hajamaanisha moja kwa mojaKwani mkuu nimekwambia nauza mkeka ili uje nikuokote? Mimi nimeomba tu ushauri, huwa nachukua gemu kumi naweka over 2.5 na zinaleta odds 100 mpaka 200, inachana gemu moja au mbili.
Sasa hapo ninekuokota vipi?
Na hizi gemu karibia zote huwa hazina option ya over 1.5, zinaanzia na 2.5.
Sasa sijui wapi nimesema nataka nikuokote
Wewe jamaa kwanini sinmwelewa kwani ukiweka games hapa au code pekee bila hizo promo nini shida?, promocode zinakusaidia nini kama ni real mkamalia, sababu ya wewe kufosi paripesa kila unapopost code ni nini? Huwezi fanya hivyo in reality kama hunufaiki na kwakuwa unanufaika unawashawishi watu wabeti kwa style Yako kwenye hiyo kampuni.Mkuu uzuri ni kwamba hiyo mikeka unayosema huwa inachana huwa inapostiwa kabla. Hata mimi huwa Napost Booking Code na ikichana huwezi kuta nimesema boom, ila ikiboom nasema boom kwa sababu najua siwezi kuedit Mkeka ambao Niliupost hadharani. Siwezi kuedit kwa sababu kuna watu wengi walifuata. Mkuu kuhusu tatizo la ku withdraw mimi sikumbani nalo kwa sababu mimi natumia crypto Kudeposit na kuwithdraw pesa. Kwa hiyo kama unataka kuondokana na adha ya ku withdraw nashauri uwe unatumia crypto.
Kwani mkuu nimekwambia nauza mkeka ili uje nikuokote? Mimi nimeomba tu ushauri, huwa nachukua gemu kumi naweka over 2.5 na zinaleta odds 100 mpaka 200, inachana gemu moja au mbili.
Sasa hapo ninekuokota vipi?
Na hizi gemu karibia zote huwa hazina option ya over 1.5, zinaanzia na 2.5.
Sasa sijui wapi nimesema nataka nikuokote
Ayaa acha kutufanya sisi MABOYA kwa kigezo cha uzalendo hapaMwisho kabisa, sisi kama Watanzania tusapotiane. Mtu huyohuyo anayeniponda mimi Kuweka Promo Code hapa, ni huyohuyo anaenda kujiunga kwa kutumia Promo Code Ya Juju punter au Mayor. Tusapotiane tufike level za Wanigeria. Wenzetu wamefika level mtu akistake milion 5 watu hawashangai. Kwanini sisi tunashangaa na kuita ni demo account. Mbona huwa hamuendi kuwaambia Wanigeria wanatumia demo account?. Tujivunie vya kwetu.