Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hii naiona hela kabisaaaaa
 

Attachments

  • A9BC98F6-BF50-4926-A0E5-737E4F253B0C.jpeg
    165.9 KB · Views: 3
Betting ilivyo ya ajabu unakuta mpaka dakika ya 90 ni 3:0 hizo hizo.

Kuna muda unabeti mechi 1 kwa option ya over 1.5 sekunde ya 34 linaingia goli la kwanza na ndio linadumu hilo hilo mpaka FT hadi unahisi mhindi anakutafuta wewe binafsi.
Imenikuta hiyo mkuu, kuna siku PSG anacheza na team ya ligue 1 yuko home,

Kabla hata dk ya kwanza haijatimia Barcola katia goal, nikasemq yes hii gemu ngoja niifate live watoe over 1.5 , duuuuh aisee gemu iliisha 1 bila na 16k ikaenda

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Hii mechi ya Romania na Kosovo imekaaje wakuu maana naona imekuwa suspended na sijui kama itachezwa tena au bet itakuwa void nielewesheni maana nilimpa Kosovo ashinde mazima
 
Hii mechi ya Romania na Kosovo imekaaje wakuu maana naona imekuwa suspended na sijui kama itachezwa tena au bet itakuwa void nielewesheni maana nilimpa Kosovo ashinde mazima

Ilitokea Fujo dk 90+ (ndan ya zile dk za nyongeza).

Game ilikuwa 0-0 .

Wachezaj wa Cosovo wakatoka uwanjan, wakasubiriwa baada ya lisaa limoja hawakurudi, refa akaanzisha mpira kukiwa na wachezaj wa Romania wenyewe, alaf mpira ulivyoanza tu , akapiga filimbi uishe.

Uwezekano mkubwa Romania akapewa ushindi. Point 3 na goli 3.
 
Kwa hyo ushindi wa kupewa ukitokea kanji anakuwa kashinda au ananirudishia hela yangu Na bet inakuwa void ndo nataka nielewe hapo
 
Kwa hyo ushindi wa kupewa ukitokea kanji anakuwa kashinda au ananirudishia hela yangu Na bet inakuwa void ndo nataka nielewe hapo

Sina uhakika sana kwenye hili.
Kanji hapa bado hajafanya maamuzi. Kama ni void au lah.

Kanji anafuata official results. Zinazotangazwa na bodi husika,
Mfano Kama ni TZ, na TFF wakasema timu ipewe point 3 na goli 3, then Kwa manajiri hayo, Romania ameshinda na Kanji atafuata hayo maamuzi.

Kama ni bodi Husika ikasema mechi imaliziwe dk zile zilizobak, (ndan ya masaa 48) bas baada ya mechi, yale matokeo husika ndio yatafuatwa na Kanji.

Lakin hapa , pamoja na dk zilikuwa zinaishia kabisa, Kosovo ndio walitoka uwanjan na wamesubiriwa lakin hawajarudi, ni utovu wa nidhan na ndio maana nikasema kuna uwezekano mkubwa Romania akapewa ushindi.

Ingekuwa mashabiki wameingia uwanjan, au mvua kubwa imenyesha, (sababu ya kuvunjika kwa mechi ni nje ya wachezaj na bech la ufund).

Basi matokeo wanaweza kuyaacha yalivyo coz dk nying zishachezwa.
 

π˜½π™€π™ π™Šπ™ 𝙏𝙃𝙀 π˜Ώπ˜Όπ™” ⚽

Code: R9R8M

Bet PariPesa

Jisajili PariPesa πŸ‘‡ https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: π“πˆππ’πŸπŸ’πŸπŸ’

Tumia Promo Code π“πˆππ’πŸπŸ’πŸπŸ’ Upate Bonus Ya Asilimia 200.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…