Mimi City hajawahi kuniangusha hata siku moja mechi zake ni over 2.5 au first half over 0.5. J4 anacheza na Feyenoord J2 L'pool zote weka hivyo hivyo.Nilimruka kama simjui vilee
Man city mwendo wa kupasuka tu, Liverpool atajipigia ajione mwambaMimi City hajawahi kuniangusha hata siku moja mechi zake ni over 2.5 au first half over 0.5. J4 anacheza na Feyenoord J2 L'pool zote weka hivyo hivyo.
Sporbety timu uliyochagua ikiongoza goli mbili first half wanatiki,so niliifuata lkn mkeka bado upo😄kuna al hilal nae anatusalimia huko,
siku ngumu sana leo!
uniambie nimuue.Mimi City hajawahi kuniangusha hata siku moja mechi zake ni over 2.5 au first half over 0.5. J4 anacheza na Feyenoord J2 L'pool zote weka hivyo hivyo.
Hiyo option mpya kampuni kadhaa wameiweka, inaitwa 2 UPSporbety timu uliyochagua ikiongoza goli mbili first half wanatiki,so niliifuata lkn mkeka bado upo😄
Umefafanua vzr sana mkuu,big up.Hiyo option mpya kampuni kadhaa wameiweka, inaitwa 2 UP
Ni mpaka uchague wewe timu ishinde kwa 2 up, na odds huwaga zinashuka kidogo
Faida yake
Timu uliuoipa ushindi ikipata goli mbili mfululizo (2-0) tayari mkeka unatiki, haijalishi matokeo ya mwisho.
Kwa mfano Timu A na timu B zinacheza. Ukaipa timu B ishinde by 2UP. mpaka kufikia dakika ya 20 timu B ikaongoza kwa A 0-2 B mkeka utatiki, hata kama matokeo ya mwisho watatoka sare ya 2-2. bado utakuwa umeshinda
Na endapo timu ukaipa 2 UP lakin ikashinda 1-0. bado utakuwa umeshinda
hivyo bookies huwaga wanashusha odds kidogo kwa hiyo option, mfano sportybet Liverpool ana odds 1.31 za kushinda, lakini ukiweka 2 UP ana odds 1.29View attachment 3159870
Skuzote liverpool ndio mpinzani mkubwa wa city pale epl, so akimpasua litakuwa ni swala la kawaida tuu.Man city mwendo wa kupasuka tu, Liverpool atajipigia ajione mwamba
Kikosi hakieleweki mzeeBarcelona vp anatoboa tujilipue
Siyo kwa misimu miwili hiiSkuzote liverpool ndio mpinzani mkubwa wa city pale epl, so akimpasua litakuwa ni swala la kawaida tuu.
Celtic atakuthomba,niaminiMkeka wa korodisha hasara. Chokoa hatoa ya emane, fongoa nafsi yako.View attachment 3159881
AiseeeeeKwa wazee wa direct win
Mfuate Barca na Azam mazima
Tia laki
Agiza kinywaji