Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

TAFAKURI ya games za leo

Game za kuepuka direct win ni hizi:
Arsenal anasuasua na anakutana ugenini na Sporting wa moto balaa
Man City hawapo sawa kisaikolojia,
Yanga uwezekano wa kushinda upo lakini hii ni Yanga mpya iliotoka kuvurugwa na vipigo na ujio wa kocha mpya

Game zenye matumaini
Waarabu Al ahly na Esperance na Pyramid unaweza kuwadhamini direct, Ila Cr Belouzdad na Raja.... hawa labda DC ya 1x inawahusu
Mamelody naye unaweza kumdhamini mazima kwa 1.5+

Game za kudhamini magoli over kuanzia 1.5 ni:
Buyern vs psg
Young boy vs Atalanta.
Sporting vs Arsenal
Keverkusen vs Salzburg
Na kwa under 3.5 ni:
Raja vs Rabat
Pyramid vs G.D
Mazembe vs Alger

Haya ni maono yangu

Ntakuja na odd zangu 2+ za do or die

Always stake what you can afford to lose 🙏
 
Hizo 2+ odd zikuje basi
 
Wakuu vipi Ahly anaweza kupata goli mbili nyumbani leo?
Vipi Mamelod ataweza kumfunga mkongo maniema
Vipi Pyramid atatoboa kwa Muangola?
 
Mkuu huu mkeka unavutia sana
Kwa mtazamo wangu hapo changamoto ni wingi wa game tu..... possibility ya game angalau moja kuzingua inakua kubwa

All the best
Nimemuondoa Mamelodi naona machale yangu yanmkataa

Ni kweli mara nyingi wingi wa game ni chamgamoto ndio maana nimeepuka kwenda na direct win kwa wakubwa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…