Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
sasa mkuu cashout 770k total win 850k tofauti ya 80k una hasara gani mkuu uwe unaridhikakatika siku betting imeniumiza ni jana kumamae,naingalia cash out ya laki770,..win ilikua 850..apo atlanta nlokua nahofia sana game yake anaongoza 4,barca 2 ,liverkusern 3,man city 3..dah mara goli za mancity zikaanza kurudi kumamae..zilipofika mbili uku liberkusern kampiga mtu 5 cash out imefungwa,nainaglia ela inapotea ile
Daaaah we acha tu mkuu, kuna mwamba aliwahi kusema huko nyuma ukiona mhindi amekupa cashout usijiulize mara mbili chukua chapukatika siku betting imeniumiza ni jana kumamae,naingalia cash out ya laki770,..win ilikua 850..apo atlanta nlokua nahofia sana game yake anaongoza 4,barca 2 ,liverkusern 3,man city 3..dah mara goli za mancity zikaanza kurudi kumamae..zilipofika mbili uku liberkusern kampiga mtu 5 cash out imefungwa,nainaglia ela inapotea ile
mkuu acha tu..game nlokua nawas was nayo ya atlanta anongoza nne,city ilikua tia maji ngoma 3..noana kabsa apa akuna uchawi tena nisuburi ela tu.sasa mkuu cashout 770k total win 850k tofauti ya 80k una hasara gani mkuu uwe unaridhik
kazi ywtu ngumu sanaDaaaah we acha tu mkuu, kuna mwamba aliwahi kusema huko nyuma ukiona mhindi amekupa cashout usijiulize mara mbili chukua chapu
Ungetoa tuu mkuu yaan ukiona kweny betting umepata faida hata 30% shusha mzigo kaka sasa ulikuwa na hasara ya 80k kwan na stake yako hata kam ingekuw ni 100k shusha tu using'ang'anie kulipa loss ya nyumamkuu acha tu..game nlokua nawas was nayo ya atlanta anongoza nne,city ilikua tia maji ngoma 3..noana kabsa apa akuna uchawi tena nisuburi ela tu.
nimejifunza kitu kikubwa jana,nilikua nataka nicash out city anaingia kipind cha pili kapiga mbili fasta,Ungetoa tuu mkuu yaan ukiona kweny betting umepata faida hata 30% shusha mzigo kaka sasa ulikuwa na hasara ya 80k kwan na stake yako hata kam ingekuw ni 100k shusha tu using'ang'anie kulipa loss ya nyuma
We noma Hongera sana umempiga parefu😁Dhaa hapa City kanikoseha milioni
Huu muhindi kakalia dole ela nzuri kabisa
Hapa napo muhindi kakalia dole ela nzuri
Hapa litimu lenu la wananchi limeshindwa hata ku draw tu limenikosesha milion 4 mama
Anyway kesho nayo nisuku wacha tulale sasa hahaja😉😁😁
Noma sana kama Mimi ndo mwenye uchu na cash out nasema toaaaa hiyoooo, ila Leo nayo ni siku mkuunimejifunza kitu kikubwa jana,nilikua nataka nicash out city anaingia kipind cha pili kapiga mbili fasta,
pale labda malaika wa bwana angenshukia ndo ningeamini kuna tema yeyote kat ya city,atlnta au barca anaweza zingua tena.
kampuni gani?FE0A68A
Traina kuelekea nchi YA kanani
chaNoma sana kama Mimi ndo mwenye uchu na cash out nasema toaaaa hiyoooo, ila Leo nayo ni siku mkuu
Nimekuelewa sanawengine tumekua wagumu sana wa kucash out sbbu ya maumivu ambayo tuliwai pitia,unacash out laki tatu ngoma inatoa milion1.
hii kazi ngumu sana.
inabidi uwe na third sense kali sana kucheza na trick za kanji
cha
Inauma sana hiyo mkuukatika siku betting imeniumiza ni jana kumamae,naingalia cash out ya laki770,..win ilikua 850..apo atlanta nlokua nahofia sana game yake anaongoza 4,barca 2 ,liverkusern 3,man city 3..dah mara goli za mancity zikaanza kurudi kumamae..zilipofika mbili uku liberkusern kampiga mtu 5 cash out imefungwa,nainaglia ela inapotea ile
Asante mkuuWe noma Hongera sana umempiga parefu😁
Hizi timu kubwa sahiv changamoto sanaa mkuu sema uzuri umepata somonimejifunza kitu kikubwa jana,nilikua nataka nicash out city anaingia kipind cha pili kapiga mbili fasta,
pale labda malaika wa bwana angenshukia ndo ningeamini kuna tema yeyote kat ya city,atlnta au barca anaweza zingua tena.
Machale yanakuchezea wapi leoMimi leo naenda hivi
669715