Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kampuni nyingi mpaka ukiona wanakupa Cashout ujue umewabana pumbu kweli kweli na una % 99 ya kula pesa zao, na wanatabia ya kushusha kiwango cha Cashout halaka halaka na kwenye kupandusha wanapandisha pole pole.
 
Haya mambo bwana, hiv kweli mtu uka bet 4000 halaf ukashunde 3,000,000??? Like seriously??
Japo jamaa aliyenishawishi mambo haya ya betting niliona akishinda 800k kwa 1k!!
 
Haya mambo bwana, hiv kweli mtu uka bet 4000 halaf ukashunde 3,000,000??? Like seriously??
Japo jamaa aliyenishawishi mambo haya ya betting niliona akishinda 800k kwa 1k!!
Kuna watu wana zali sana hapo ni kama odd 700+ watu wanashinda sana tuu
 
Kabla ya mechi kuanza hizi ni odds 4+ za wazi kabisa ila nasisitiza ni kabla ya mechi kuanza....

PSV hawa ni GG yaani wafungane

Leipzig hawa ni GG yaani wafungane

Bayerliverkuzen hawa ni GG yaani wafungane...

Ukiangalia ni pesa kabla ya mechi lakini.....

Hebu tujaribu tuone ft itakuwaje ni hizo tatu tu
 
Kuna watu wana zali sana hapo ni kama odd 700+ watu wanashinda sana tuu
Hii nimeona kwa jamaa aisee,,,,, alafu ye anabonyezaga bonyezaga tu, unaogopa hata kuunga tela ila zinamlipa sana japo madau yake ni buku mbilimbili,,,,
Siku ukisita kuzifuata ndo balaa hadi unajiona huna nyota kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…