Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

E bwana eeh!!!na wanatoa kabisa?? Na wanamlipaje mtu kama huy kama just umebet kwa mtandao? Maana sidhan kama kwa simu pesa hii inalipika
Betting iko kisheria mkuu kama kampuni imesajiliwa hawawezi kataa kumlipa sababu sheria inasema unae bet uwe na miaka 18 hivyo ukiweka mzigo ni kwa hiari yako 😂😂😂 na mwenye kampuni pia amekubali kushawishika kwa hiari yake.
 
Jamaa mmoja mwaka jana aliweka miambili akala M 13
[emoji3][emoji3]daaah asee watu wanabahati.

Sasa huyo jamaa.yangu machaguo yake hatari mfano Liverpool vs Leicester anaipa leicester goal moja ipate unakuta odds 1.63, anakuja labda barca vs atletico madrid anaipa barca ishinde first half na second half unakuta ni odds 2.5, unakuta man city vs arsenal anaweka GG and over 3.5 odds kama 3.5 hivi .

Inshort jamaa huwa na machaguo magumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…