Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu mwenye uelewa na hii option tafadhali
Hiyo maana yake ni kwamba kuanzia wakati wowote wa mchezo ucahague matokeo yanayoweza kupatikana wakati mchezo unaendelea

Mfano ukichangua 1-0 maana yake ni lazima home team aanze kufunga ili score board isome 1-0 hata kama akiendelea kufunga na mwisho ikawa 3-2
Na ikiwa Away ataanza kufunga ni lost kwasababu hakuna muda ambao score board itasoma 1-0

Ukichagua 2-2 maana ya ni lazima ndani mchezo itokee score board inasoma 2-2 hata kama game itakwisha 4-2

Sijui kama nimeeleza vizuri
 
Hii kampuni ndo nilianza hz mishe za kubet,ilikuwa ikifika saa 4 asubuh wanatuma hela vzur tu,kuna mwanafunz wang aliwah kuwapiga laki 7 nae alikuwa na wasi wasi kama wewe lakin ilivyofika saa 4 mpunga ukaingia

Lakin nakushaur achana na hyo kampuni maana haina machaguo mengi,njoo kwenye hz kampuni za kudeposit kama sportybet zina machaguo ya kutosha maana siku hz timu zimeshachanganyikiwa,kwenye ligi haziwez win zote kama ulivyoweka hvyo
MKuu mimi sijui lolote lile kuhusu betting huwez amini, hata hii niliweka tu baada ya kutaka kujua hii kitu huwa inafanyaje kazi.
Sasa itabid unipe shule nikuelewe maana ya hayo machaguo nakadhalika kama hutojal
 
Ila we jamaa toka jana unalalamika na 5k watu tunaweka single bet 100k unampa Barcelona na mbwa wale wanapita nayo shwaaaa na unakausha kama hakijatokea kitu
Mkuu unajua jamaa alisema ya uhakika alafu badae anasema ety kona wametoa droo hata wewe ungekubali..?
 
Back
Top Bottom