Ningependa atokee mtu mmoja aielezee kwa kina handcap and Asian handcap hakika hii siijui kabisa
Kwa mfano yanga anacheza na simba Leo saa 10, wewe unataka kumbetia yanga ukiamini atashinda lakini ukawa na mashaka labda wanaweza draw au anaweza fungwa kwa hisia zako unahisi atafungwa goli labda mbili au tatu ili KUZUIA hisia hizi sisije kuwa kweli tunaweza tumia handicap au asian handicap
Kwenye handicap unamuongezea goli au magolii yule unataka/amini atashinda ili KUZUIA draw. Na ikitokea draw ume umepoteza mfano.
Matokeo ya yanga na simba ni 1-0, 2-0, 3-0 nakuendea au 1-1, 2-2 n.k lakini wakati unachangia handicap ulichagua 2:0, manake yanga ulimtangulizia goli mbili zaidi ya Simba kwa matokeo ya hisia lakini uhalisia matokeo yaka kama hapo juu ebu muongezee yanga zile goli mbili kwenye matokeo halisi je unaona atakuwa na goli ngapi na je anashinda au ana draw?
Mfano kwenye 1-0, ongeza zile 2 itakuwa 3-0, na kwenye 1-1 itakuwa 3-1
Hivyo unachukua mpunga
Mfano Jana match ya jong ajax vs roda
Nikimpa hivi handicap (0:2)
Fulltime na matokeo yakawa 3:1 manake jumuisha hivi. Hp(0:2) + real(3:1) utapata 3:3 hii kwenye handicap ni lost kwahiyo matokeo ya mwisho baada ya kuongeza handicap yakileta draw au akiendelea KISHINDA yule uliemnyima handicap umeliwa mfano ningempa handicap ya (0:1) matokeo ya mwisho Huwa hivi 3:2 hapa na lost
Kuhusu asian handicap yenyewe Haina draw so matokeo ya mwisho anatafutwa mahindi hapa wataeleza wengine